Kuelekea mechi ya CAFCC | Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas SC, mechi kubwa kwa timu kubwa

Yani pamoja na kazi kuimaliza lakini bado una kisia idadi ya magoli?
 
Ndoto kama hizi sio za kuzipuuza ni muhimu kuzisikiliza

Siba guvu moya
 
Simba ina kikosi kipana! Hata bila ya huyo mtukutu Morrison, bado ina uwezo wa kumkalisha Asec pale kwa machinjioni kwa Mkapa! [emoji3062]
Vp mzee kagere na mzee boko ......mnawahesabia kwenye hicho kikos kipana?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…