OKW BOBAN SUNZU
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 53,868
- 121,001
umewezaje kuwa member JF halafu unakosa akili ya kujua kama huyo manara ni punguaniKwa timu gani mliyonayo, ndo maana manara kawasanua watu umafia wenu mliojiandaa kuufanya ili mshinde.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
umewezaje kuwa member JF halafu unakosa akili ya kujua kama huyo manara ni punguaniKwa timu gani mliyonayo, ndo maana manara kawasanua watu umafia wenu mliojiandaa kuufanya ili mshinde.
Yani pamoja na kazi kuimaliza lakini bado una kisia idadi ya magoli?Chukua hii ninachojua na Kazi ndiyo tumetoka Kuimaliza sasa japo nikiri ilikuwa ni Nzito kwani Jamaa ( Asec Mimosa ) nao ni Wazima na Wazito kwa Unyangindo ( Uchawi ) ila kuna mahala tumewaweza.
Simba SC anashinda Goli 1 kwa 0 au Goli 2 kwa 0 au Goli 3 kwa 1 japo kuna Uwezekano Mchezaji Kuumia na kuna Kitu kitatokea Uwanjani ila msiogope, msishangae na muwe Wavumilivu nacho.
Mafia wa Soka na Simba SC tumerejea!!
Cc: Bujibuji Simba Nyanaume
Mkuu kwa mkapa kuingia shughuli yake huwa ndefu sana na jua hili bado hujawaza kuibiwa simu hapo.Nenden kwa mkapa muwape suppost wenzenu
chanel gani?Ni kweli
Kinachocheza sio kikosi unaweza ukawa na kikosi ukachezea vile vileHana kikosi cha kumpa jeuri .........labda apate penalt
Yaani kwa miwivu yao kazi yao ni kuombea mabaya wenzao tuYenyewe inaangalia upande hasi tu....hii mijamaa itakuwa ililogewa kushindwa.
Yaani siku zote wao ni negativity tu,mawazo ya kimasikini masikiniiiii[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] wabongo ni wanafiki sana
Mtani[emoji23]Manina zako wewe acha uchawi mtani.
Tukifungwa kweli tatawasomea albadri nyinyi Uto mtafungwa milele.
Vp mzee kagere na mzee boko ......mnawahesabia kwenye hicho kikos kipana?Simba ina kikosi kipana! Hata bila ya huyo mtukutu Morrison, bado ina uwezo wa kumkalisha Asec pale kwa machinjioni kwa Mkapa! [emoji3062]
Hapana mkuu. ....Wana jangwani ndio waliopigania uhuru...... that's y wanaitwa ....WANANCHISimba Sc haiwezi kuchangamana na intarahamwe wa jangwani, acha washangilie wageni.
Hapana mkuu....mkiwafunga tuta appreciate Uwezo wenuWakija kufungwa utaanza kusema ni wabovu, Uto akili zenu tunazijua.
Ana kilo 200 now mkuuKapteni wetu Bocco siku hizi amesahau hata kupiga danadana!
Mashabiki ......wasije kung'oa viti vyetu wanachiAsec wanamgegeda mnyama kama Jwaneng walivyofanya siku ile pale kwa Mkapa.
Mkuu nadhan ili kuwajua Mashabik wanaobweka....tusubiri baada ya mpira kuishaHatuna muda wa kubishana na Mashabiki ambao tulishaambiwa wote hawana akili na wanabweka kama manyani
Mkuu sis tumesha jihakikishia kwenda super cup.......na sio hiz confederation zenu hiztunaenda kushona mbeleko ya kubeba Utopolo ili na mwakani wakakenue Nigeria