Mgagaa na Upwa
JF-Expert Member
- Sep 30, 2013
- 13,481
- 28,116
Hao ndio wazee wa banchikicha chupli makolo kanga moko leo wakipigwa itakua burudani sana mjiniUnamaanisha Simba sport club aka makolo, mbumbumbu,mikia wanajina lengine linalojulikana kama mbeleko fc?
Na walishawahi pigwa 5 basi watapigwa tenaKusema ukweli wanasimba mjiandae kabisa
Kila ninachokiota kinatokea kweli sijawahi ota ndoto isitimie
okwi boban sunzuKusema ukweli wanasimba mjiandae kabisa
Kila ninachokiota kinatokea kweli sijawahi ota ndoto isitimie
Uliwahi kuota una-lwafi, kumbe nayo ilitokea!!!Kusema ukweli wanasimba mjiandae kabisa
Kila ninachokiota kinatokea kweli sijawahi ota ndoto isitimie
Tuambie ndoto ulizoota zikawa ukweli...Kusema ukweli wanasimba mjiandae kabisa
Kila ninachokiota kinatokea kweli sijawahi ota ndoto isitimie
Yenyewe inaangalia upande hasi tu....hii mijamaa itakuwa ililogewa kushindwa.Wakishinda utasikia mmewafunga vibonde,wasubirini Mazembe,mibongo bhana
Haya bhana....Leo Simba ndio watajua kubebwa na Marefa wa bongo kumewaletea athari kiasi gani. Kipigo Cha Leo lawama nazipeleka moja kwa moja kwa Marefa wao ndio walio ilemaza timu ya Simba.
Wasijiue Tu Maana Hawana Dogo Kwenye Suala Hilo[emoji23][emoji23][emoji23]Hapo wana kitete hawafahamu hatima ya red kadi na penalt za bure
Sio rahisi atoke majeruhi aanze game toughLwanga ameshakuwa yupo vizuri..Ni jukumu la Kocha Pablo kuaamua kumpanga.
Nina kawoga flani.. lakini nikikumbuka Simba kwa mkapa Ni hatari..napata amani
ASEC Mimosa ya kipindi hicho ilikuwa pia na Mwamba Kolo Troule aliyecheza pale Arsenal.Sio Simba hii. Nikikumbuka Galaxy walivyofanya, imani inanitoka kabisa.
Wachezaji wetu wa Simba wa sasa waliunajisi uwanja wa Mkapa kwa kuruhusu kufungwa bao tatu na kutupwa nje ya CCL
Kabda ya hapo Watanzania tulijua na wapinzani wetu kutoka nje ya nchi nao walijua kua Kwa Mkapa mbele ya Lunyasi SSC haponi mtu
Kocha wa Ahly Mosimane katika hafla ya kupanga draw ya CCL alisema anafarijika maana this time hawatakwenda kwa Tanzania(kucheza na Simba kwa Mkapa)
Hebu vijana wetu wauchukulie serious mchezo huu. Asec Mimosas hatujawahi kuwafunga ndani wala nje na kumbukumbu ya Sekou Bamba bado tunayo alivyotuua pale Shamba la Bibi. Ila siku zimebadikika na lolote linawezkana. Tukapambane
kushiriki mashindano makubwa na kufikia hatua ambayo wengine nmeshindwa kufikia Ni mafanikio makubwa sana.Kwa sababu ni usindikizaji tu
Hio michuano ya kimataifa mmebeba makombe mangapi mpaka muda huu?