Kuelekea mechi ya CAFCC | Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas SC, mechi kubwa kwa timu kubwa

Kuelekea mechi ya CAFCC | Simba SC dhidi ya ASEC Mimosas SC, mechi kubwa kwa timu kubwa

Shida yetu watanzania mpira tumeufanya kuwa uadui na sio mchezo wa kuliunganisha Taifa Kama dhana ya michezo ilivyo!!

Mechi za kimataifa tungeungana kushangilia timu za nyumbani,, then domestic league kila mtu apambane na hali yake,, utakuja kuona mautopolo yamevaa jezi za Chama tawala afu yanashabikia wageni!!

Utopolo mtakuwa na akili lini?
 
Jibu swali,gazeti reeefu hamna hata kombe moja la kimataifa. au tuwaite wasindikizaji wa kimataifa
kushiriki mashindano makubwa na kufikia hatua ambayo wengine nmeshindwa kufikia Ni mafanikio makubwa sana.

Kwamfano mashindano ya Africa super cup yakianza, kitendo Cha kushiriki tu unapata bilioni 2.3

Niulize timu yako Ina vigezo na thamani ya kuweza kucheza super cup?

Mafanikio yanapimwa kwa vigezo vingi.
 
Movie la kutisha hili msiruhusu watoto wadogo kusogelea azam tv kwani kuna jitu litatapakaa damu mwili mzima kwa kipigo hiyo saa 10 jioni!
 
CAF CONFIDERATION CUP

Mashabiki wa Simba hawataki kusikia lolote siku ya leo ila tu ni kuona chama lao linashinda pale lupaso stadium aka kwa mkapa

Matokeo ya ushindi si tu yataifanya Simba kuongoza kundi lao Bali kuwafanya mashabiki kutembea kifua mbele .....

Swali

Je kwa kikosi cha Simba leo chenye wachezaji wazito kwenye mpira, wazee unadhani wanakufa kwa goli ngapi pale lupaso?

View attachment 2118074
Simba Leo anashinda NNE bila, mark my words
 
Nimesema msiruhusu watoto wadogo kuangalia tv jioni ya leo kwani jitu linaenda kucharangwa mwili na damu kutapakaa....
 
Hivi amjifunzi!,tangia misimu iliyopita mechi za kimataifa mmekua na muendelezo wa kuombea mabaya Simba lakini mwisho wa siku Simba inafika mbali.
Hamna mkuu.......sisi tuna sema ukweli uliopo .....now Simba mna kikosi .....kauka nikuvae
 
Back
Top Bottom