Kuelekea mechi ya derby Simba yapewa nafasi kubwa ya ushindi

Kuelekea mechi ya derby Simba yapewa nafasi kubwa ya ushindi

vibertz

JF-Expert Member
Joined
Mar 15, 2022
Posts
2,474
Reaction score
4,726
Kwa mechi kadhaa nyuma, Yanga ilikuwa ikipewa nafasi kubwa ya kushinda na makampuni ya kamari, lakini safari hii hali imekuwa tofauti.

Watu wakiamini Yanga ni bora kuliko Simba, watu wakiamini kuwa Yanga ina wachezaji wengi bora kuliko Simba lakini kwa makampuni ya kamari yamefanya uchambuzi tofauti, pengine wameangalia kwa jicho la kinyume nyume ( kwenye derby aliyeko bora ndiye anayefungwa)

Nini maoni yako mdau wa soka

IMG_20230415_130815.jpg
IMG_20230415_130738.jpg
 
Mechi ya liva na man u iliyopita liva alipewa point 3 man u alipewa 1.9 kilichotokea man u anakuchua 7
Mkuu unafananisha pizza na mihogo.. haha ila mechi za Simba na Yanga wanakamiana sana hata matokeo yake yanakua ya kushangaza!
 
Mechi ya liva na man u iliyopita liva alipewa point 3 man u alipewa 1.9 kilichotokea man u anakuchua 7
Odd hazi guarantee ni yupi atakayepata matokeo. Mechi ya Simba vs Raja nadhani tuliona Raja akipewa nafasi ndogo ya kushinda mbele ya Simba lakini mwisho wa siku mtu kala chuma tatu.
 
Hii gemu nimeona sehemu ni droo yoyote ile ya mabao au 0-0!!!###BabuFyeeZeelaCuba####🏊🏊🏊🏊
 
Back
Top Bottom