Naona unaota ndoto ukiwa umekufaAPRIL 16,2023
FT: Simba SC 4 : 1 Young African
Igeuze
Mkuu unafananisha pizza na mihogo.. haha ila mechi za Simba na Yanga wanakamiana sana hata matokeo yake yanakua ya kushangaza!Mechi ya liva na man u iliyopita liva alipewa point 3 man u alipewa 1.9 kilichotokea man u anakuchua 7
Acha mara moja kubishana na matokeoIgeuze
Odd hazi guarantee ni yupi atakayepata matokeo. Mechi ya Simba vs Raja nadhani tuliona Raja akipewa nafasi ndogo ya kushinda mbele ya Simba lakini mwisho wa siku mtu kala chuma tatu.Mechi ya liva na man u iliyopita liva alipewa point 3 man u alipewa 1.9 kilichotokea man u anakuchua 7
Iwekee Simba goli 2 hautajutia. Asante. Wewe Beti kishabiki home kitakachokukuta.Acha nikaweke 30k tu nimpe yanga hapo nipate ya bia na supu kesho yake.