Kuelekea Mei Mosi 2022: Rais Samia, Waokoe Watumishi wako Dhidi ya Dhulma Kali ya Makato ya Lazima ya Mshahara kutoka kwa Vyama vya Wafanyakazi

Hii sio ada ya uwakala, ni kodi! Haiwezekan uwakate unao wawakilisha kwa viwango tofauti kwa kazi ileile ya uwakala.. watumishi nchi hii tunaonekana mabwege
Nimecheka Sana hii komenti ukweli watumishi wa umma tumekuwa Mazuzu na Mazombi halafu hatuna wa kutusemea Wala kutusaidia ...

Na hapo ukute tatizo limeanzishwa na mwanasiasa then anaombwa atatue huyohuyo muanzishaji wakati ndio mnufaika .... never...

Walimu tuna CWT Sijui hela wanayokata ya nn halafu wanakata kwa mtindo uleule wa kutomuhusisha mwenye Mshahara...upumbavu
 
Halafu nikawa mwajiri wao halafu nikawakimbia waendelee kuteseka kama wewe, maana hamnaga akili
Basi kama wewe Ni Mwajiri, mpe basi hata sekretari wako awe anakusomea ndio unatoa maoni yako.

Maana naona unajibu kitu ambacho hujasoma, kama uko shirika la umma ndio maana ufanisi huwa Ni 12% kwa kuwa na watu wa aina yako.
 
Basi kama wewe Ni Mwajiri, mpe basi hata sekretari wako awe anakusomea ndio unatoa maoni yako.

Maana naona unajibu kitu ambacho hujasoma, kama uko shirika la umma ndio maana ufanisi huwa Ni 12% kwa kuwa na watu wa aina yako.
Sawa ticha pambana na makato yako
 
TUCTA imekuwa ndio mnufaika no.1 wa michango ya wafanyakazi, sio wateteaji wa haki za wafanyakazi zaidi ya kupenda kula na kujinufaisha. Bora vyama hivi vifutwe tu
Tucta ,Cwt,Chahakama na upuuzi mwingine ni ubatili mtupu ..

Halafu mwanasiasa anapokea 12m bila makato
 
Sawa mfanyakazi wa shirika la umma ambalo halijawahi kupata faida tangu Dunia iumbwe zaidi ya kuishi kwa Ruzuku kutoka vyanzo vingine.
Karibu tunaajiri walimu pia ila GPA iwe inasoma 4+
 
Fact kabisa, vyama vya wafanyakazi Tanzania havina msaada wowote, ni wanyonyaji tu. Hivi haiwezekani kulazimisha kuachana navyo? Vinatusababishia makato yasiokua na maana yoyote.
 
Fact kabisa, vyama vya wafanyakazi Tanzania havina msaada wowote, ni wanyonyaji tu. Hivi haiwezekani kulazimisha kuachana navyo? Vinatusababishia makato yasiokua na maana yoyote.
Nafikiri viwe completely hiari. Hili suala la Makato tena kwa LAZIMA halifai hata kidogo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…