Tetesi: Kuelekea Mkutano Mkuu wa CCM: Mbunge, Wajumbe na Katibu wa Mikoa wa Upinzani kujiunga CCM

Labda mm sijaelewa mtu anataka kuhamia kwenye chama mnongea naye nn maana kama mnafanya naye makubaliano maana yake nikama mnaingia naye mikataba na sio hiyari yake kuhamia ccm kunakitu anakitaka

mkataba ni hiyari sema at a price.
 
Kwa kasi hii ya Magufuli hamna haja ya kukaa kwa vipinzani uchwara.



Upinzani Leo ndio watetezi wakubwa Wa majizi na Mafisadi ,sasa unabaki huko kutafuta nini??
Nizamu yetu sisi wapinzani kutetea, mbona ninyi ccm mmetetesa wezi kwa miaka yote, kumbe mkuki kwa nguruwe,............
 
Imekaa vizuri. Hatuwezi kubaki na upinzani ambao siku zote unatetea mafisadi. Kwa mwenye akili timamu kabisa hawezi kubeza kazi nzuri anayoifanya mheshimiwa rais Magufuli kwa sasa.
 

Kungekuwa na ukweli naona ungebolda jina la huyo Mbunge.Mpe hongera zake.
 
Hii taarifa ni ya uzushi hakuna *upuuzi* kama huo kipi kiliwaondoa na kipi kinawarudisha
 
Labda mm sijaelewa mtu anataka kuhamia kwenye chama mnongea naye nn maana kama mnafanya naye makubaliano maana yake nikama mnaingia naye mikataba na sio hiyari yake kuhamia ccm kunakitu anakitaka


Kama mwanaCCM mwaminifu nitashangaa, "kuongea'' kuongea nae nini?
 
Wakati ccm wakitalajia kuwapokea hao 18 tarehe 23/7 ....tarehe 25 upinzani utapokea vigogo kutoka ccm 180 ...hii inaitwa kampa , kampa tena ...
Bado unaamini wale wenyeviti wa mikoa na Wilaya takriban 60 waliotangazwa na Mbowe wakati akimkaribisha EL bado wako njiani eeh?
 
Siku hizi kuhamia chama mpaka ufanye mazungumzo kama vile klabu za ulaya zinavyonunua wachezaji. Zamani kujiunga na chama ilikuwa lazima usome miezi 3 ndipo ukabidhiwe kadi
 
Bado unaamini wale wenyeviti wa mikoa na Wilaya takriban 60 waliotangazwa na Mbowe wakati akimkaribisha EL bado wako njiani eeh?
Mbona walisha kuja, au ww hauna taarifa ? sasa subiri hiyo tarehe 25 uone mafuriko ya watu wanavyovua gamba na kuvaa gwanda....teh teh teh teh ...nahv kunakosa kosa zinaendelea dhidi ya ninyi kwa ninyi ...ss yetu macho mkuu...lkn maandalizi kwetu yamekamilika tunasubiri tu muda
 
Kumbe ni biashara!
Haya ccm mkifika bei mtujuze mmewasajili kwa kiasi gani na kodi ni kiasi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…