Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Vichwa ngumu...
Hashim Spunda Rungwe anasemaje kwani?? Maana naona kuna neno "POSHO" hapo.
Kuna vyama vya siasa zaidi ya 20 visiposhiriki 5 hakuna tatizo.
Ingekataa CCM hapo ingekuwa ni tatizo kubwa!
Msajili wa vyama na waandaaji wa hii mkutano bora mkaangalia zaidi maslahi ya taifa kwa Demokrasia madhubuti hili mnalolitaka silo mnalipeleka taifa kusiko.Kwani kushiriki kula ubwabwa na kupata selfies ina umuhimu wowote mkuu?
Msajili wa vyama na waandaaji wa hii mkutano bora mkaangalia zaidi maslahi ya taifa kwa Demokrasia madhubuti hili mnalolitaka silo mnalipeleka taifa kusiko.
Na mpendwa Rais ukalione hili usije ukalikubali kwani halina manufaa shughulikia yale muhimu hawa walioko nyuma yako wanakutumia vibaya.
Huwezi kuona shida kwa sababu ubongo wako ni low!Kuna vyama vya siasa zaidi ya 20 visiposhiriki 5 hakuna tatizo.
Ingekataa CCM hapo ingekuwa ni tatizo kubwa!
CCM sio chama cha siasaKuna vyama vya siasa zaidi ya 20 visiposhiriki 5 hakuna tatizo.
Ingekataa CCM hapo ingekuwa ni tatizo kubwa!
Cheyo na Lipumba hawakosi.CCM sio chama cha siasa
yule fala hana msimamo thabitiYuda kutoka Kigoma atakwenda kwenye hicho kikao
Mdwazi Sana yule jamaa anajali Sana tumboyule fala hana msimamo thabiti
Huyo mwamba ndio Rais wangu wa ROHONIHashim Spunda Rungwe anasemaje kwani?? Maana naona kuna neno "POSHO" hapo.