Wildchild
JF-Expert Member
- Aug 29, 2018
- 19,411
- 21,938
Yeye bila shaka atahakikisha kila mshiriki anakula ubwabwa na nyama🤔.Hashim Spunda Rungwe anasemaje kwani?? Maana naona kuna neno "POSHO" hapo.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Yeye bila shaka atahakikisha kila mshiriki anakula ubwabwa na nyama🤔.Hashim Spunda Rungwe anasemaje kwani?? Maana naona kuna neno "POSHO" hapo.
mkutano unahusu nini..?
Mkutani ni wa siku ngapi?
washiriki ni kina nani.
Rais na mwenyekiti wa CCM role yake ni nini?
Hakuna hatua ya pili.ni hatua ya pili..
Snitch mwandamizi huyoDalali wa CCM ndugu Zitto Kabwe anasemaje?
Yule mvuta bangi akishapiga cha Arusha kila kitu anarahisisha tuMnajisi wa vyama vya siasa yeye anasemaje?
his time round ZZK ndiyo haendi kabisaaaaa!! Amechafukwa sanaDalali wa CCM ndugu Zitto Kabwe anasemaje?
wewe ndiyo wale Mzee Polepole anawatafuta, maana kasema awamu ya TANO iliacha wahuni wengi mno ndani ya chama na haya ndiyo madhara yake.Chadema na NCCR vifutwe havifai kabisa kuwa vyama vya Siasa.
Haswa Chadema kimethibitisha kuwa ni chama cha kihalifu, chama kinacho shabikoa na kushangilia uhalifu, chama kinacho iombea nchi mambo mabaya hakifai kifutwe.
Hapa ndipo wanapofeli hawa watu.shida ni kutaka agenda zikubalike au shida ni majadiliano ambayo yanaweza kuleta au kutoleta matokeo chanya...?
Kukutana ni hatua ya kwanza, kukubaliana au kutokubaliana ni hatua ya pili...
ubishi ubishi usio na maana ulifanya hata katiba mpya ikakwama zama zile kwenye ubishi tu wa either serikali tatu au mbili....wakati kumbe ilikuwa haina ulazima wakumaliza yote na mengine siajabu leo hii yangekuwa implemented na hilo la idadi ya serikali tungeendelea kulipambania..
Itakataaje ili hali ndiyo inayoandaa mkutano.Ulishaona wapi Mkiti akiitisha mkutano halafu siku ikifika anakimbia.si lazima awepo?Kuna vyama vya siasa zaidi ya 20 visiposhiriki 5 hakuna tatizo.
Ingekataa CCM hapo ingekuwa ni tatizo kubwa!
Jiongeze kidogoNani anaepotez hapa, hii style ya kususa susa is never working sijui kwanini tunazidi kuitumia, ni style ya ovyo kabisa
Chuki upofusha, so wewe lengo ni wakose pa kula kama wew?Chadema na NCCR sio vyma vyama vya kisiasa bali ni SACOS za wenye viti.
nashangaa kwa nini Mhe. Msajili asivifutilie mbali hizi SACOS
afutilie mbali hizi takataka halafu tuone Mzee Mbatia na Swahiba wake watakula wapi.
Chuki upofusha, so wewe lengo ni wakose pa kula kama wew?
Hawana mazala ila wanamadhara🤔.Hawana mazala yyte kwa Taifa washiriki wasishiliki