Halaiser
JF-Expert Member
- Apr 3, 2014
- 4,230
- 6,653
Bwashee vp tena?? Una macho lkn huoni?? Hivyo vyama 5 vina wanachama nchi nzima, hivyo vingine wanachama wao wameishia kwenye ofisi za Makao makuu ya vyama vyao.Kuna vyama vya siasa zaidi ya 20 visiposhiriki 5 hakuna tatizo.
Ingekataa CCM hapo ingekuwa ni tatizo kubwa!