kipofu haambiwi tazama,haihitaji uwe umekwenda univesiti kugundua kuwa CHADEMA ni sacos ya baadhi ya wachagahisia zako tu, na kinachokusumbua ni INFERIORITY COMPLEX kwa wachagga, siyo peke yako ni watu wengi sana
Ndugu Sikonge Tamko lako hili tuu "Naona na sisi Wanyamwezi tuwe na chama chetu........." Linanipa mashaka juu ya ufahamua wako wa mambo na hasa Siasa
Mimi naamini kigezo cha nanikuchanguli au kutochanguliwa kisiwe baba na mtoto au mtu na rafiki Kiwe utendaji kama utandaji wa mtu(watu) ni mzuri then wachaguli na ndo walivyofanya wajumbe
kipofu haambiwi tazama,haihitaji uwe umekwenda univesiti kugundua kuwa CHADEMA ni sacos ya baadhi ya wachaga
Wewe wasemaUna Chuki na Wachagga
Una Chuki na Wachagga
Una mapenzi na Wachaga mpaka umekuwa kipofu.
Hii ya CHADEMA kuwa SACCOS ya Wachaga fulani hivi imetulia.
Una mapenzi na Wachaga mpaka umekuwa kipofu.
Hii ya CHADEMA kuwa SACCOS ya Wachaga fulani hivi imetulia. Akina Zitto ni vibarua tu hata siku moja hawawezi kumilikishwa hii SACCOS.
Ndesa aligombea na bob makani ,bob kaoa uchagani
Wewe wasema
Wazee wa Chadema wasiozidi watano walipohojiwa na vyombo vya habari mbali mbali walisema kuwa Zitto ana haki ya kugombea pia anatimiza demokrasia kama Chadema inavyosimama.
wazee hawa jana wamemzuia Zitto kugombea uenyekiti.kamati kuu na mkutano mkuu wa Chadema una maana gani wakati wazee wa Chadema wameshafanya maamuzi yao? bnaona kazi za kamati kuu na mkutano mkuu wameshazifanya hawa wazee wa Chadema,okoeni pesa hakuna haja ya kuwa na mkutano mkuu.
Pia nilisema ukiona mtu anapata umaarufu kwa kupitia mtu mwoovu huyo mtu mwangalieni mara mbili mbali mara nyingi watu wa namna hii si wema.
Lucy Owenya.
Mbunge wa Moshi Mjini, Philemon Ndesamburo na mtoto wake, Lucy Owenya, wamechaguliwa bila kupingwa kukiongoza chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) mkoani Kilimanjaro kwa kipindi cha miaka mitano ijayo.
Ndesamburo alichaguliwa tena kukiongoza chama hicho mkoani hapa baada ya kuibuka na ushindi wa kura 49 kati ya 50 za wajumbe wa mkutano huo wakati mtoto wake, Lucy, aliibuka na ushindi wa idadi ya kura kama hizo katika uchaguzi mkuu uliofanyika jana mjini hapa.
Katika uchaguzi huo, Basil Lema, alichaguliwa kuwa Katibu wa chama hicho huku Deogratius Munishi, akichaguliwa kuongoza Baraza la Vijana wa chama hicho na Seranus Mushi alichaguliwa kuongoza Baraza la Wazee wa chama hicho.
Akizungumza baada ya uchaguzi huo, Ndesamburo alisema ushindi wake ni ishara kwa Chama cha Mapinduzi (CCM) kwamba bado anakubalika na kamwe hata katika kinyang'anyiro cha uchaguzi mkuu hapo mwakani, atajitahidi kutetea kwa udi na uvumba kiti chake cha ubunge.
Alisema anashangazwa na propaganda za viongozi wa CCM ambao wamekuwa wakidai kuwa yeye ni mzee na hivyo hatagombea tena kiti cha ubunge Jimbo la Moshi Mjini jambo ambalo si la kweli.
"Eti wanasema mimi ni mzee, kibabu nimechoka sitagombea tena ubunge...Huo ni uzushi wao na ushindi wangu wa leo ni indiketa ya kwamba uchaguzi mkuu ujao nitatetea jimbo langu na kumbwaga mgombea wa CCM, alisisitiza Ndesamburo.
Naye Lucy Owenya ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalum (Chadema) akizungumza na waandishi wa habari baada ya ushindi huo, alitoa wito kwa wanawake mkoani Kilimanjaro kujitokeza kwa wingi na kugombea nafasi mbalimbali za uongozi katika uchaguzi wa serikali za mitaa.
Owenya alisema wanawake hawana budi kuacha woga wa kuwania nafasi za uongozi kuanzia serikali za mitaa, madiwani na hata ubunge ili kuweza kufikisha uwakilishi wa asilimia asilimia 50 bungeni na halmashauri.
CHANZO:
Ndesamburo na Mtoto wake hawakuwa na wapinzani kama itakavyokuwa kwa Mbowe hatakuwa na Mpinzani.
kingine wagombea wote ni wachagga kwani Kilimanjaro si kuna wapare pia?
Sija kuelewa hapa