Tuliwaambia sisi tusio wapenzi na wafurukutwa wa vyama tatizo la chadema ni Mbowe, Walimfanyia fitina marehemu Chacha wakamuita anatumiwa na ccm.Sitoshangaa tena leo Zitto naye kupewa kilemba hicho.
Mchawi huwa halogi mara moja akastaafu,ama wahenga wanasema ukishaonja nyama ya mtu huishii kuonja mara moja.
Lakini waswahili wanasema siku ya mbwa kufa pua huziba.
Ni maoni yangu
Mchawi huwa halogi mara moja akastaafu,ama wahenga wanasema ukishaonja nyama ya mtu huishii kuonja mara moja.
Lakini waswahili wanasema siku ya mbwa kufa pua huziba.
Ni maoni yangu