michibo
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 2,315
- 3,915
Jf nayo tunaipa masaa[emoji3]
JF tuko vizuri, acha kutisha watu... tulijipanga kwa hili.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jf nayo tunaipa masaa[emoji3]
ulikuwa wapi huna vpn hahaha
Tupo pamoja 27 thousand tsh only..Turbo VPN chanja mbuga
Pachika app ifuatayo ktk simu yako. Ifungue na ubonyeze palipo andikwa connect. Baada ya hapo rudi twitter ukale kuku kwa mrija
View attachment 1613177
tumia siku saba 7 bure uchaguzi utakuwa umepitaTupo pamoja 27 thousand tsh only..
Au siku Saba bure.
Watumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
Aliyeko USA anishtue mchana tupate Lunch pamoja. Niko mitaa ya Massachusetts huku
Ni kweli haipatikaniSitaki hata kuwachosha maana muda nao ni mali, kila nikipita twitter naona haifunguki na sio kawaida kila browser nayotumia wapi, huko kwako unaonaje? ama kuna mambo nyuma ya dunia yanaendelea?
Aliyeko USA anishtue mchana tupate Lunch pamoja. Niko mitaa ya Massachusetts huku
sio vodacom tuu, mitandao yote, mimi natumia halotel twitter na instagram haifanyi kaziWatumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.