Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio hapa najarib kuload bila mafanikio. Hata halotel imegoma. [emoji1787] [emoji1787] [emoji1787]Watumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
LINE GAN UNATUMIA MKUU?Kwangu mbona iko sawa?
LINE GAN UNATUMIA MKUU?
Dahh Vpn inaraha mkuu. Yaan nakata mbuga kwa ulaini kabisa tena iko fasta.Hapana ni matangazo mawili tu kazi inaisha. Ulete mrejesho
Hivi unajua ngumi za mtaani huwa hazina masharti? Wenzenu ni street fighters halafu nyie mnazipiga kwa kufuata mashatri! Umeshawahi kusikia kitu kinaitwa VPN? 😉Tanzania tumerudi nyuma miaka 60. Watu wanatumia njia haramu za kila namna ikiwemo wizi ili kung’ang’ania madaraka.
Itakuwa jua linaogopa kupatwa sasa linajifunika kwa mawingu ila ukweli unabaki kuwa jua limepatwa.Sitaki hata kuwachosha maana muda nao ni mali, kila nikipita twitter naona haifunguki na sio kawaida kila browser nayotumia wapi, huko kwako unaonaje? ama kuna mambo nyuma ya dunia yanaendelea?
Ukifurahia hivyo means inakukosesha amani...[emoji23][emoji23][emoji23] spana zinafanya kazi yakeAfadhali imefungwa
Hivi unajua ngumi za mtaani huwa hazina masharti? Wenzenu ni street fighters halafu nyie mnazipiga kwa kufuata mashatri! Umeshawahi kusikia kitu kinaitwa VPN? 😉
Mitandao yote full buffering!Watumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
Poa, nilifikiri na wewe ni mmoja wa waathirika. Inasikitisha sana kuona watu wanataabika kisa wanataka kuchangia mawazo yao tu.Kwanini nisiijue VPN?