Domhome
JF-Expert Member
- Jun 28, 2010
- 3,198
- 3,950
Jina lake tu ni wasiwasi tosha...Ukifurahia hivyo means inakukosesha amani...[emoji23][emoji23][emoji23] spana zinafanya kazi yake
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Jina lake tu ni wasiwasi tosha...Ukifurahia hivyo means inakukosesha amani...[emoji23][emoji23][emoji23] spana zinafanya kazi yake
Kwangu haikubali.Asante mkuu ngoja nijaribu.. Haina mahangaisho?
Keyboard commando muache hio mitandao povu mtatolea wapiNi kuwaaadhibu tu kwa kuachana kabisa na huduma zao kwani wamekubali kutumika ili kuficha maovu nchini.
Tunatumia VPN we malala chaliAfadhali imefungwa
Mimi natumia eatel pia ni takribani saa 9 zimepita toka niweze kupata taarifa mpya baada ya hapo hakuna kituWatumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
Bulk massaging and bulk voice calling, nikajua ni zile jumbe tunazotumiwa kutoka taasisi, mashirika, mbali mbali, mf: TAMISEMI, TAKUKURU, POLISI, TMA lengo kufikisha ujumbe au taarifa flani.Read between the lines. Si kila kitu kinaanikwa hadharani ili kuficha lengo lao kuu.
Chapa VPN mambo fresh, nasomeka nipo Cardiff now.Watumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
Hii ni kweli..kwa watumiaji wa Vodacom Tanzania, Twitter haifunguki kabisa.Sitaki hata kuwachosha maana muda nao ni mali, kila nikipita twitter naona haifunguki na sio kawaida kila browser nayotumia wapi, huko kwako unaonaje? ama kuna mambo nyuma ya dunia yanaendelea?
Wakizima kabisa hii VPN itasaidia au ndo habari yetu itakua imeishia hapoNenda playstore pakua proton VPN, kisha fanya registration kwa kujaza emails na password, kumbuka kubonyeza kitufe cha free,ili utumie bure kwa muda fulani. Kisha utatumiwa ujumbe kupitia email yako utaverify, ndio utaanza kutumia
Utaletewa unataka uaccess internet kutoka nchi gani ziko nyingi mm natumia ya Netherland, ukitaka ata USA ni wewe
Hapo utaweza ku bypass huu utopolo wa internet ya kupangiwa na vodacom. Sio tu Twitter, kesho internet inazimwa nchi nzima. Maana hata sasa haifanyi kazi vizuri
Wakizima ndo bas tena,lakni kwa sasa tutegemee tuu VPN maana ndo inatusaidiaWakizima kabisa hii VPN itasaidia au ndo habari yetu itakua imeishia hapo
NdioNikiconnect hatua inayofuata ni ipi ili ni access tweeter?
Inafanya kazi.Pachika app ifuatayo ktk simu yako. Ifungue na ubonyeze palipo andikwa connect. Baada ya hapo rudi twitter ukale kuku kwa mrija
View attachment 1613177
Mwenyekiti wa Chadema!Tanzania tumerudi nyuma miaka 60. Watu wanatumia njia haramu za kila namna ikiwemo wizi ili kung’ang’ania madaraka.
Wangapi wataweza kufika njia hii yote huku kwetu Madibila?Pachika app ifuatayo ktk simu yako. Ifungue na ubonyeze palipo andikwa connect. Baada ya hapo rudi twitter ukale kuku kwa mrija
View attachment 1613177
Sijachunguza kuhusu hiloDahh Vpn inaraha mkuu.. Yaan nakata mbuga kwa ulaini kabisa tena iko fasta..
Vitu kuhusu ulaji wa mb (zinakwenda sana ukitafautisha na kawaida au vipi) ?
Hii ni kwa ajili ya wanaotaka accessWangapi wataweza kufika njia hii yote huku kwetu Madibila?