Niko zangu LONDON kutokea SUMBAWANGA.
naenjoy mitandao ya kijamii yote bila purukushaniView attachment 1613963
Huo muda hawana ama wanajitoa ufahamuRead between the lines. Si kila kitu kinaanikwa hadharani ili kuficha lengo lao kuu.
Niki download kuna namna ya kuunganisha au ni auto mkuuTumia VPN huta pata tabu kote huko kutafunguka
Wahanga tupo wengiJamani, kulikoni najaribu kutumia social media kama Twiter, YouTube. na WhatsApp zinagoma! Ni mimi tu au nanyie, natumia tigo
Nijuze mkuu unatumia vpn au unaingia wapiTumieni VPN nilikua nahangaika hapa, nikaja kukumbuka ni uchaguzi time lazima figisu zitawale.
huku VPN tunaendelea kuangalia unyama wa ZanzibarNi kuwaaadhibu tu kwa kuachana kabisa na huduma zao kwani wamekubali kutumika ili kuficha maovu nchini.
Una bahati unabwabwaja hapa JF,hapo ndo ujue Mexence kamzidi akili Coward Magufuli na vibaraka wake.
La sivyo wala usingepata muda wa kuharisha huo upuuzi wako hapa JF.
It's bad reputation to my country!
Wanataka watawale kila kitu chetu, hata maoni yetu! Hawa ni zaidi ya Mungu katika maisha yetu. Mungu ameturuhusu kusema na kuwaza chochote, lakini si serikali hii.
Hii ndiyo itawafanya wananchi waichukie ccm zaidiWatumiaji wa mtandao wa twitter, Telegram, wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
PIA SOMA
= > Leo Mitandao ya kijamii Tanzania Bara imekuwa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter na Telegram zimeguswa
Mkuu embu weka link apa Mana kuna moja nimedwnload inahitaji mambo ya kulipia..Njia ni kama ifuatavyo
Kitu cha kwanza jaribu kuingia google kupitia opera au chrome au uc mini au nyingijnezo yaani jaribu kuingia google kupitia hizo njia google ikifunguka tu yaani hakikisha google search inafunguka google ikifunguka kati ya hizo fuata hatua ya 2
Hatua hiyo ni kudownload vpn kwa google unadownload kupitia google kwa sababu playstore au appstore pashafeli download huko kwenye google kisha ukishadownload install
Pia usisahau kuallow installation from unknown sources
Kila la kheri!
Mkuu embu weka link apa Mana kuna moja nimedwnload inahitaji mambo ya kulipia..