kuduman201036
JF-Expert Member
- Aug 26, 2015
- 4,058
- 2,175
Playstore imefungwa piaPachika app ifuatayo ktk simu yako. Ifungue na ubonyeze palipo andikwa connect. Baada ya hapo rudi twitter ukale kuku kwa mrija
View attachment 1613177
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Playstore imefungwa piaPachika app ifuatayo ktk simu yako. Ifungue na ubonyeze palipo andikwa connect. Baada ya hapo rudi twitter ukale kuku kwa mrija
View attachment 1613177
Hata tigo pia tatizo ni hilohilo...Huu uzi nimetoka kuandika sio muda mkuu sio voda even halotel.
Ww utakua ni polepoleLaiti mngejua mamlaka zimefanya haya Kwa ajili ya usalama wa taifa letu mngefunga midomo yenu michafu ya kulalama.
Hizi ni dalili kwa 'anguko' la madikteta wengi duniani, silaha za mwisho mwisho wanazitumia mojawapo ni hilo.Hujui propaganda zinaweza leta machafuko kwenye nchi?
Hiyo VPN unaipataje jamaniMie tigo nisipowacha VPN hola,
Nikiwasha wazungu haoo
Una bahati unabwabwaja hapa JF,hapo ndo ujue Mexence kamzidi akili Coward Magufuli na vibaraka wake.Koma na hasira zako...Nchi hii iko vizuri ...kesho naenda kumpa JPM asibuhi na mapemaaaaaaaa
Nyie si ndio mnasemaga mitano tena[emoji23][emoji23][emoji23]Unatumiaje VPN wandugu, tuelekezeni sisi biginners
Tuagane kabisa.Kweli kabisa Jamii forum itafungiwa kwa muda km 2015 wakati wa kutangazwa rais
Mkuu amani haina masharti.Hii nayo kali unaogopa kunyeshewa mvua wakati maji unakunywa na kuoga! Ya nini kuitisha uchaguzi lakini uziogope changamoto zake? Suala la amani liko palepale ikiwa tu uchaguzi utakuwa huru na haki bila udanganyifu
Ukitaka kampe na penzi usituchoshe.Koma na hasira zako...Nchi hii iko vizuri ...kesho naenda kumpa JPM asibuhi na mapemaaaaaaaa
Tumieni VPN download kupitia computerWatumiaji wa mtandao wa twitter, Telegram, wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
Mbona tumeshahama tuko kwenye ukimwengu free. Maisha kama kawaida. Jiunge VPNNlitaka Ni restore kumbe ni tatzo kwa wote daah ase inaskitisha