[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dah na wakifungia mitandao ya kubet sijui itakuwaje
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]Dah na wakifungia mitandao ya kubet sijui itakuwaje
Tumia VPN huta pata tabu kote huko kutafunguka
Tumieni vpnHata Airtel naona wanablock kabisa youtube
Inalindwa kwa ajili yetu sote
Uchumi utafanyaje?????[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Huku kwa device yangu playstore inasomeka "something went wrong"
Kiukweli ccm wameiharibu sana maana Uchumi utaanguka sana kwa mitandao kuzimwa
Hivi ni nani aliyewaroga hawa mataga
Kwakua play store inasumbua enda chrome ka search 'UFO VPN apk' afu ui 'download',baada ya hapo 'connect' afu anza kui 'enjoy' na network connection itakua under protection.Jamani, kulikoni najaribu kutumia social media kama Twiter, YouTube. na WhatsApp zinagoma! Ni mimi tu au nanyie, natumia tigo
Hata chrome saivi chenga mzeeKwakua play store inasumbua enda chrome ka search 'UFO VPN apk' afu ui 'download',baada ya hapo 'connect' afu anza kui 'enjoy' na network connection itakua under protection.
mliambiwa mapema mtumie VPN
binafsi natumia Windscribe Vpn ni free
mtumiaji mpya unapewa 2GB
link https://m.apkpure.com/windscribe-vpn/com.windscribe.vpn/download?from=details
Naona una kibinda nkoi[emoji41]Utakavoona ndio sahihi
Haijalishi, ata awe rais tusi likitoka kashalioga limemtapakaa haliwezi kurudi.[emoji41]Bahat mbaya inaweza kuwa unayemtukana amekuzidi kila kitu
Ipi? Maana ziko kedekedeeeeTumieni vpn