Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Security purposes during an on going General Election.Leo nimejaribu kuingia twitter lakini naona ina load tuu wala haifunguki. Hili tatizo lipo kwangu tu au kwa maana kuna mtu nimeona uzi wake analalamika Youtube pia haifunguki. What's wrong?!
Pigianeni simu za camference call kama mnataka pashana habari..Ni nani anatuongoza sisi kutuamulia nini cha kufanya.
Mpaka sasa mitandao yote ya kijamii ishafungwa kuanzia Youtube, Whattsapp, Instagram, Telegram n.k..
Hapo mbona unapashana habariNi nani anatuongoza sisi kutuamulia nini cha kufanya.
Mpaka sasa mitandao yote ya kijamii ishafungwa kuanzia Youtube, Whattsapp, Instagram, Telegram n.k...
Furah kwakuw walau umepata sehem ya kuongelea utopolo wako.Koma na hasira zako...Nchi hii iko vizuri ...kesho naenda kumpa JPM asibuhi na mapemaaaaaaaa
Ni nani anatuongoza sisi kutuamulia nini cha kufanya.
Mpaka sasa mitandao yote ya kijamii ishafungwa kuanzia Youtube, Whattsapp, Instagram, Telegram n.k...
Na mimi naenda kumpa LISSUKoma na hasira zako...Nchi hii iko vizuri ...kesho naenda kumpa JPM asibuhi na mapemaaaaaaaa
Wasted spemsKoma na hasira zako...Nchi hii iko vizuri ...kesho naenda kumpa JPM asibuhi na mapemaaaaaaaa
Wasted spemsUtanyooka tu wewe mbw..?!!
The audacityAtapata faida zipi ikiwa na tiki mkuu?