Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

Uchaguzi 2020 Kuelekea Uchaguzi Mkuu: Mitandao ya Twitter, WhatsApp, YouTube na Telegram haipatikani kupitia baadhi ya mitandao ya simu

Si ajabu ndio maana mitandao ya kijamii inafungiwa kutokana na akili zenu mbovu,chanzo ni nyie wenyewe.Kura ni siri yako hatuhitaji kutuletea upuuzi wako hapo
peleka ushbamati wako lumumba huko endeleeni na kazi yenu bila hivyo hakuna posho leo yani siku mbili nzima mnaangaika na JF
 
Usihangaike na hao wapuuuzi
Si ajabu ndio maana mitandao ya kijamii inafungiwa kutokana na akili zenu mbovu,chanzo ni nyie wenyewe.Kura ni siri yako hatuhitaji kutuletea upuuzi wako hapo
 
Ni ukweli usiopingika Magufuri ni rais anaependa ubabe sana. Unazima mitandao ya kijamii ili iwaje! Waambie watu uhuru wao. Huo urais ni wao Ndio wamekupa uwaongoze why uwakaraishe! MNYIMENI KURA MAGU. Rais gani anakua anaingilia maisha ya watu kiasi hicho! 28/10 ni leo Kura zote kwa Lissu tuachene na maisha ya kuishi Kama tupo Zizini. Wafuasi wa ccm badilikeni.
Hata CCM leo hawana hamu
Hata tusio na vyama hatuna hamu
Ni kero kubwa kwa kweli
D184FD25-0874-4E6C-8594-7554E7365C00.jpeg
 
Ustaarabu upi slio kuwa nao JK mkuu? Fafanua
Umewahi sikia mpinzani katekwa,kateswa enzi za JK?
Uwewahi sikia uhuru wa kupata na kusambaza habari ukiminywa enzi za JK?
Uwewahi uhuru wa kukusanyika na kufanya siasa ukiminywa enzi za JK?
JK ni mtu mstaarabu na mwenye exposure.
 
Umewahi sikia mpinzani katekwa,kateswa enzi za JK?
Uwewahi sikia uhuru wa kupata na kusambaza habari ukiminywa enzi za JK?
Uwewahi uhuru wa kukusanyika na kufanya siasa ukiminywa enzi za JK?
JK ni mtu mstaarabu na mwenye exposure.
Kama una maanisha Julius Kambarage sawa, Ila huyu aliye asisi matatizo yanchi hii Kama mikataba mibovu, wizi wa kupindukia, kutokukusanya Kodi mpaka mishahara ya wafanyakazi anakopa hapana. Bora kabisa JPM
 
Safari yakwenda mahakama ya ICC inaendelea kuwaka Moto nikitendo chamuda kufika baadhi ya mitandao mikubwa Duniani ikiwemo Twitter kutoa report kuhusu shambulio waliolipata kutoka Tanzania nakushuka down access zao YOUTUBE nk.
 
Yaani mimi kwa kweli kuna vitu vinanishangaza sana awamu hii sijawahi kuona awamu yenye uoga na isiyojiamini kama hii, miaka yote iliyopita uoga kama huu haukuwepo, upinzani uliachwa ufanye siasa na mikutano vyombo vya habari vilipewa nafasi kufanya kazi yake.

Lakini kipindi hichi pamoja na awamu hii kutuletea maendeleo Watanzania na watanzania kuonekana kumpenda jpm kupitiliza, ila jamaa ni muoga kupitiliza.

Sasa kama unaamini unapendwa unaanzaje kuwa muoga namna hii, mitandao tokea jana haieleweki, wewe unasema unapendwa basi usiwe muoga, ukiwa muoga inamaana watu hawana imani na wewe na unaujua ukweli.
 
Hatuwezi kuongozwa na mtu mwenye risasi kwenye kalio
 
ALIYETENGENEZA VPN nampa heshima sana maana amenifanya nakula bata wakati wa dhiki hii kuu tunayofanyiwa bila hata kujua n kwa maslahi ya nani hadi wafunge
 
Back
Top Bottom