Kwa tabia kama hizo zenu ndio maana serikali inafunga mitandao ya kijamii,akili zenu zimejaa tope la matusi, nyie ndie chanzo na serikali inalazimishwa na nyie kufanya hayaWatumiaji wa mtandao wa twitter, Telegram, wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
PIA SOMA
= > Leo Mitandao ya kijamii Tanzania Bara imekuwa restricted. YouTube, WhatsApp, Twitter na Telegram zimeguswa
Si ajabu ndio maana mitandao ya kijamii inafungiwa kutokana na akili zenu mbovu,chanzo ni nyie wenyewe.Kura ni siri yako hatuhitaji kutuletea upuuzi wako hapotayari nishamchapa JIWE View attachment 1614470
peleka ushbamati wako lumumba huko endeleeni na kazi yenu bila hivyo hakuna posho leo yani siku mbili nzima mnaangaika na JFSi ajabu ndio maana mitandao ya kijamii inafungiwa kutokana na akili zenu mbovu,chanzo ni nyie wenyewe.Kura ni siri yako hatuhitaji kutuletea upuuzi wako hapo
Si ajabu ndio maana mitandao ya kijamii inafungiwa kutokana na akili zenu mbovu,chanzo ni nyie wenyewe.Kura ni siri yako hatuhitaji kutuletea upuuzi wako hapo
Hata CCM leo hawana hamuNi ukweli usiopingika Magufuri ni rais anaependa ubabe sana. Unazima mitandao ya kijamii ili iwaje! Waambie watu uhuru wao. Huo urais ni wao Ndio wamekupa uwaongoze why uwakaraishe! MNYIMENI KURA MAGU. Rais gani anakua anaingilia maisha ya watu kiasi hicho! 28/10 ni leo Kura zote kwa Lissu tuachene na maisha ya kuishi Kama tupo Zizini. Wafuasi wa ccm badilikeni.
Wakifunga na JF basi its overWalichotufanyia siyo bana
Umewahi sikia mpinzani katekwa,kateswa enzi za JK?Ustaarabu upi slio kuwa nao JK mkuu? Fafanua
Kama una maanisha Julius Kambarage sawa, Ila huyu aliye asisi matatizo yanchi hii Kama mikataba mibovu, wizi wa kupindukia, kutokukusanya Kodi mpaka mishahara ya wafanyakazi anakopa hapana. Bora kabisa JPMUmewahi sikia mpinzani katekwa,kateswa enzi za JK?
Uwewahi sikia uhuru wa kupata na kusambaza habari ukiminywa enzi za JK?
Uwewahi uhuru wa kukusanyika na kufanya siasa ukiminywa enzi za JK?
JK ni mtu mstaarabu na mwenye exposure.
Nadhani this only works on android
Leo hata VPN inagoma
Mnafeli wapi Wakuu somo la vpn limekua gumu kwenu kweli duuh mnashindwa ingia social network kisa vpn duuhInagomaje?
Basi pakua Browser ya Opera Mini.
ndio ndugu inapiga kazi we jaribu opera wako vizuriUNA UHAKIKA HUO MKUU?
JE VPN YA KWENYE OP INA UWEZO WA KU-UNBLOCK HIDDEN WEBSITE? JE UMEJARIBU KWAKO IMEFANYA KAZI?
Hujafa Hujaumbika, unafurahia maumbile yako muda huu wakati hujui kesho yako.Hatuwezi kuongozwa na mtu mwenye risasi kwenye kalio
JF chini!
- Playstore hata google yenyewe haiko kikawaida
- Facebook nayo shida
- WhatsApp bwiii
Sijui kwanini hukuwepo tangu jana mchana! NIMEFANIKIWA. Nimepata ushuhuda wa baadhi ya pic kutoka twitter!ndio ndugu inapiga kazi we jaribu opera wako vizuri
kumbuka hii ni kwa watumiaji wa computer
Hii inaweza ikagoma, wadownload kutoka upanddown, apkpure apo hii kwa sasa naona inazingua.Nenda browser andika apkpure.
Alafu Sach ufo vpn download.alafu ukishainstall connect..
Credit member mmoja wa jamii forum.
View attachment 1614316