Pachika app ifuatayo ktk simu yako. Ifungue na ubonyeze palipo andikwa connect. Baada ya hapo rudi twitter ukale kuku kwa mrija
View attachment 1613177
Kwenye VPN inafanya vizuri kabisa. Tumia ProtonVPNMitandao yote full buffering!
Hata mimi naipendekeza ProtonVPN inaonekana iko ethical sana.Kwenye VPN inafanya vizuri kabisa.Tumia ProtonVPN
Watumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
Sitaki hata kuwachosha maana muda nao ni mali, kila nikipita twitter naona haifunguki na sio kawaida kila browser nayotumia wapi, huko kwako unaonaje? ama kuna mambo nyuma ya dunia yanaendelea?
Ina mambo mengi sana mazuri including speed,security,number of servers,uaminifu,etcHata mimi naipendekeza ProtonVPN inaonekana iko ethical sana.
Tumia ProtonVPN
Kweli kabisa mkuu.Ina mambo mengi sana mazuri including speed,security,number of servers,uaminifu,etc
Haya ni mambo ya kihanithi kabisa. Lakini hakuna kurudi nyuma! πͺπ½πͺπ½πͺπ½Watumiaji wa mtandao wa twitter wanashindwa kupata huduma hiyo kupitia kampuni ya simu ya Vodacom. Tatizo hilo limeanza siku ya leo.
| Tutaelewana tu ngoja kwanza tuonyeshane makali, CCM watachia tu watu washachoka kama mbwae mbwae tu mwaka huu | |||
Pachika app ifuatayo ktk simu yako. Ifungue na ubonyeze palipo andikwa connect. Baada ya hapo rudi twitter ukale kuku kwa mrija
View attachment 1613177
Asante mkuu ngoja nijaribu.. Haina mahangaisho?
Tupeni maelezo inafanyaje kaziIpo vema kabisaa ββ
Mkuu elekezeni wadau hatua kwa hatua jinsi zinavyofanya kazi..Tumia ProtonVPN
Naona tuache kutweet mpaka uchaguzi upite ili maisha yaendelee.Twitter imepisha uchaguzi upite kwanza
Thanks for your helpTumia ProtonVPN
Nenda playstore pakua proton VPN, kisha fanya registration kwa kujaza emails na password, kumbuka kubonyeza kitufe cha free,ili utumie bure kwa muda fulani. Kisha utatumiwa ujumbe kupitia email yako utaverify, ndio utaanza kutumiaMkuu elekezeni wadau hatua kwa hatua jinsi zinavyofanya kazi..
ThanksPachika app ifuatayo ktk simu yako. Ifungue na ubonyeze palipo andikwa connect. Baada ya hapo rudi twitter ukale kuku kwa mrija
View attachment 1613177