Lalo Salamanca
JF-Expert Member
- Dec 9, 2012
- 1,532
- 1,118
Mpaka Telegram nayo imekuwa slowed down, dah
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
MkuuAsante mkuu ngoja nijaribu.. Haina mahangaisho?
Asante mkuu ngoja nijaribu.. Haina mahangaisho?
Me nafungua fresh hapaHaipatikani line zote hizo
Yeah! Just washa vpn tu inapiga kazi, bila vpn haipatikani nayo tena kama unatumia tigo hata uweke 4G hakuna kitu... Mimi natumia kwa vpn telegramMpaka Telegram nayo imekuwa slowed down, dah
Pamoja mkuu, nimeweka jino moja tu mswaki wanini kitu imekubaliTurbo VPN chanja mbuga
Ndo Zanzibar huku mkuu?
SafiTwitter imepisha uchaguzi upite kwanza
Tatizo sio voda tu. Ni mitandao yote. Naona Tanzania tumeanza kuwafuata wenzetu kama Ethiopia ambao wao huzima kabisa Internet.Ni kuwaaadhibu tu kwa kuachana kabisa na huduma zao kwani wamekubali kutumika ili kuficha maovu nchini.
Msaada VPN au ww ndio unaamka..?Wakuu hata instagram siipati, msaada wakuu.
Nna li-hotspot shield hapa lina throughput safi kabisa😇Yeah! Just washa vpn tu inapiga kazi, bila vpn haipatikani nayo tena kama unatumia tigo hata uweke 4G hakuna kitu... Mimi natumia kwa vpn telegram
DaahHio ndio zanzibar Pemba
Daah ni uovu waliofanya haya nao watalipwa tu , maana Neno la Mungu linasema "aliyelemewa na damu ya mtu atalikimbilia shimo Wala mtu asimzuie"Hio ndio zanzibar Pemba
🤣🤣🤣 Hii comment imenifanya nigudue kitu leo.Ni kuwaaadhibu tu kwa kuachana kabisa na huduma zao kwani wamekubali kutumika ili kuficha maovu nchini.
sasa ungecomment wap kama wangefunga mitandao yote?? pumba******[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]Kama wanaona inasaidia kwa usalama wa taifa waifunge kabisa sio tweeter tuu ata mitandao mingine. Usalama wa nchi hii ni muhimu kuliko hizo tweeter na zinginezo.
Kwaiyo tunaolalamika wote wazushi sio?Yani nyie kila kitu ni kujadili tofauti tu, wabongo mna shida kubwa sana
Mimi natumia Vodacom na Twitter iko hewani hata sasa