Bombabomba
JF-Expert Member
- Dec 23, 2017
- 1,804
- 2,128
Hapa wireless napata network vizuri
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Kwani mkuu sever ya Jf ipo bongo ,walifunga si unaweza ipata mawinguni huko auBaada ya jiwe kutuma message zake za kipuuzi kuomba kura sasa wanafunga njia zote kuhakikisha hakuna mwingine yeyote anayemuiga. Nchi ya kishenzi sana, bado mpo kwenye ukoloni hamjui tu.
Tarehe 28 kuna probability kubwa sana ya JF nayo kufungwa
Sio hizo tu hata whatsapp wamesrestrict kutuma document,voice,videos tumia vpn kuepuka usumbufu huosio vodacom tuu, mitandao yote, mimi natumia halotel twitter na instagram haifanyi kazi
Ilikua majuzi walijaribu kumdukua [emoji23][emoji23] walichokutana nacho, Aliwategea mfumo wakajaa akasambaratisha mashine zao zote..!Walianza kureport account wanaamka wanakuta verified [emoji23]
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Pachika app ifuatayo ktk simu yako. Ifungue na ubonyeze palipo andikwa connect. Baada ya hapo rudi twitter ukale kuku kwa mrija
View attachment 1613177
Nipo hapa [emoji23][emoji23][emoji23]
Download VPNSitaki hata kuwachosha maana muda nao ni mali, kila nikipita twitter naona haifunguki na sio kawaida kila browser nayotumia wapi, huko kwako unaonaje? ama kuna mambo nyuma ya dunia yanaendelea?
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]izo vpn mzitumie maisha yenu yote
Hapo ndiyo ujue kuwa wanawazidi kila kitu isipokuwa wanawaachaga tuu! Pigeni umbea wenu sasa.Tanzania tumerudi nyuma miaka 60. Watu wanatumia njia haramu za kila namna ikiwemo wizi ili kung’ang’ania madaraka.
Vpn inafanyaje kazi ikiwa mitandao imezimwa na tcra? Em tupeane elimu wazee.Mie tigo nisipowacha VPN hola,
Nikiwasha wazungu haoo
Mkuu leo na uzuni wangu moyoni maana moyo wangu hauna raha, ila swali lako nimejikuta natabasam, kwamba wao watatumia Nini, watatumia vpn hizo mnazozitaja,ila zipo huduma nyingi zitakwama mfano kwenye hospital kubwa ambapo matibabu mengi ya wagonjwa, registration,vipimo nk inakuo ni on line
Kwani kuna ulazima gani waku comment?sasa ungecomment wap kama wangefunga mitandao yote?? pumba******[emoji23][emoji23][emoji23][emoji1787]
watashanga na zote ni kutoka location moja😅 TZ.Dah yani leo proton watashangaa app yao inapakuliwa kwa kasi[emoji23]
Sent from my SM-G920P using JamiiForums mobile app
Mkuu uko mkoa gan kwa sasaHata instagram ilikuwa haifanyi kazi, nimewasha VPN ndo imekubali. Nikitumamsg yeneye maneno kama Kura haziendi, hata kupiga haziendi
Niko mtaani nawatafta Tz wenzangu ha Netherlandmwendo wa VPN... #Nogovernmentinterven