Kumekuwa na miito ya kuwa tozo hizi za miamala na mabenki hazikubaliki.
Kasikika Mwigulu akidai kilio wamekisikia. Wamesikika CCM nao wakidai tozo hizi ziangaliwe upya.
Kwamba haya yakiendelea ninyi mnakata tozo kama vile hamna akili nzuri? Hii ni dharau kiasi gani kwetu?
Au hadi mkutane nasi mabarabarani ndipo mtaelewa nini tunataka?
Tambueni tutazidai pesa zetu retrospectively.
Wizi wenu usio waathiri nyie hatutauridhia kamwe.
Habari ndiyo hiyo.
Kasikika Mwigulu akidai kilio wamekisikia. Wamesikika CCM nao wakidai tozo hizi ziangaliwe upya.
Kwamba haya yakiendelea ninyi mnakata tozo kama vile hamna akili nzuri? Hii ni dharau kiasi gani kwetu?
Au hadi mkutane nasi mabarabarani ndipo mtaelewa nini tunataka?
Tambueni tutazidai pesa zetu retrospectively.
Wizi wenu usio waathiri nyie hatutauridhia kamwe.
Habari ndiyo hiyo.