Kuendesha boda boda ni kazi kama kazi nyingine msichukulie poa

Kuendesha boda boda ni kazi kama kazi nyingine msichukulie poa

msomi duni

Member
Joined
Apr 11, 2024
Posts
90
Reaction score
301
Bila kupepesa maneno nyie wana jf mkiona hadi kijana anaendesha bodaboda ujue hana option ya kujikwamua kimaisha sio kila mtu anatoka familia zenye uwezo sometimes bodaboda ndio only option mtu anakuwa nayo na pia ajali sio lazima asababishe yeye kuna kusababishiwa pia.

Maswala ya kuona mtu kapata ajali mnaanza ooh tuliwaambia hawajasikia mara ooh bodaboda ndio kawaida yao ni umama, na mjue kundi la bodaboda linaundwa na watu wa aina mbalimbali wakiwemo wenye ma degree msichukulie poa poa ajira hakuna acheni kuwasimanga kama mtu akipata ajali huwezi kumsaidia kaa kushoto wanaoweza wamsaidie toa camera yako kawarecord akina Makonda na wadudu.​
 
Bila kupepesa maneno nyie wana jf mkiona hadi kijana anaendesha bodaboda ujue hana option ya kujikwamua kimaisha sio kila mtu anatoka familia zenye uwezo sometimes bodaboda ndio only option mtu anakuwa nayo na pia ajali sio lazima asababishe yeye kuna kusababishiwa pia... Maswala ya kuona mtu kapata ajali mnaanza ooh tuliwaambia hawajasikia mara ooh bodaboda ndio kawaida yao ni umama, na mjue kundi la bodaboda linaundwa na watu wa aina mbalimbali wakiwemo wenye ma degree msichukulie poa poa ajira hakuna acheni kuwasimanga kama mtu akipata ajali huwezi kumsaidia kaa kushoto wanaoweza wamsaidie toa camera yako kawarecord akina Makonda na wadudu​
Umeandika kwa uchungu sana. Unachokisema ni sahihi kabisa. Wengi tunaelewa na kuna wachache ambao hawaelewi hilo. Cha maana Boda mnaojielewa endeleeni na kazi kwa bidii na uangalifu na Mungu atakuwa pamoja nanyi. Mkiwa kijiweni waelimisheni boda wasiojielewa umuhimu wa kuchukuwa tahadhali ili kuepuka ajali zisizo za lazima zenye uzembe uliopitiliza. Umefika muda wa Kazi hii itambulike na kufanywa na watu wenye ujuzi na uelewa. kwa faida ya Dereva wa Boda na Mwananchi.
 
Bila kupepesa maneno nyie wana jf mkiona hadi kijana anaendesha bodaboda ujue hana option ya kujikwamua kimaisha sio kila mtu anatoka familia zenye uwezo sometimes bodaboda ndio only option mtu anakuwa nayo na pia ajali sio lazima asababishe yeye kuna kusababishiwa pia.

Maswala ya kuona mtu kapata ajali mnaanza ooh tuliwaambia hawajasikia mara ooh bodaboda ndio kawaida yao ni umama, na mjue kundi la bodaboda linaundwa na watu wa aina mbalimbali wakiwemo wenye ma degree msichukulie poa poa ajira hakuna acheni kuwasimanga kama mtu akipata ajali huwezi kumsaidia kaa kushoto wanaoweza wamsaidie toa camera yako kawarecord akina Makonda na wadudu.​
Kwanini sasa mnakimbiza pikipiki kama machizi
 
Umeandika kwa uchungu sana. Unachokisema ni sahihi kabisa. Wengi tunaelewa na kuna wachache ambao hawaelewi hilo. Cha maana Boda mnaojielewa endeleeni na kazi kwa bidii na uangalifu na Mungu atakuwa pamoja nanyi. Mkiwa kijiweni waelimisheni boda wasiojielewa umuhimu wa kuchukuwa tahadhali ili kuepuka ajali zisizo za lazima zenye uzembe uliopitiliza. Umefika muda wa Kazi hii itambulike na kufanywa na watu wenye ujuzi na uelewa. kwa faida ya Dereva wa Boda na Mwananchi.
Muhimu sana
Imetokea nini?

Fafanua kidogo kama unaweza kutufafanulia.
Kuna video inasambaa itafute
 
Hiyo ni kazi ya laana tu matatizo ya kujitafutia kuvunjika miguu na mabega mlivyo wajeuri skuizi mnaendesha na mziki juuuuu yaani ukiona mtu anaisifia hii kazi hayupo sawa kwenye ubongo
Na hakuna anaewadharau bodaboda ila style yao ya maisha ndio inafanya wadharaulike, sehemu yoyote ila katika dunia hii ukishindwa kujiheshimu hakuna wa kukupa heshima
 
Hiyo ni kazi ya laana tu matatizo ya kujitafutia kuvunjika miguu na mabega mlivyo wajeuri skuizi mnaendesha na mziki juuuuu yaani ukiona mtu anaisifia hii kazi hayupo sawa kwenye ubongo
Aiseee hii ni kazi kama kazi nyingine... Watu wanaishi, wanasomesha, wanajenga kwa hiii kazi hayo matatizo ya ubongo ni swala lako binafsi mzee
 
Hiyo ni kazi ya laana tu matatizo ya kujitafutia kuvunjika miguu na mabega mlivyo wajeuri skuizi mnaendesha na mziki juuuuu yaani ukiona mtu anaisifia hii kazi hayupo sawa kwenye ubongo
Hii kazi siyo ya laana kama unavyofikiri. fikiria tena.
Hii kazi imekosa usimamizi na misingi imara ya kumjenga BODA. Imeacha nafasi kwa kila mtu kuendesha boda bila kujali uwezo wake wa kufikiri, ujuzi na elimu aliyonayo.
 
Na hakuna anaewadharau bodaboda ila style yao ya maisha ndio inafanya wadharaulike, sehemu yoyote ila katika dunia hii ukishindwa kujiheshimu hakuna wa kukupa heshima
Boda boda hawataki heshima zenu wanataka pesa mzee... Ndio maana wanaitwa kwenye kampeni iwe CCM, chadema au chama chochote na wanaenda kote wanachukua pesa bodaboda hawana upande, upande wao ni pesa tu
 
Hii kazi siyo ya laana kama unavyofikiri. fikiria tena.
Hii kazi imekosa usimamizi na misingi imara ya kumjenga BODA. Imeacha nafasi kwa kila mtu kuendesha boda bila kujali uwezo wake wa kufikiri, ujuzi na elimu aliyonayo.
Sawa 😁😂
 
Back
Top Bottom