majoto
JF-Expert Member
- Jul 19, 2013
- 2,595
- 4,775
Ukiona mtu anakimbiza pikikipi ujue huyo ni chizi. wako machizi wengi tu. cha kushangaza utaona mteja anaona kabisa boda anayemkodi anaonekana chizi kabisaa lakini unamkodi! muwe mnaangalia machizi yanajulikana.Kwanini sasa mnakimbiza pikipiki kama machizi