msomi duni
Member
- Apr 11, 2024
- 90
- 301
- Thread starter
- #61
Ila nchi zilizoendelea karibia zote wanatumia pikipiki kufanya deliveryHujiulizi kwanini nchi zinazojielewa hamna huo ujinga wa boda boda?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ila nchi zilizoendelea karibia zote wanatumia pikipiki kufanya deliveryHujiulizi kwanini nchi zinazojielewa hamna huo ujinga wa boda boda?
Kweli na hao ndio wanachafua sifa ya wachache wenye weledi na kaziWanakuwaga na tabia za kihuni mno.
Ingawa kuna waaminifu ambao ni wachache sana ila wahalifu wengi wamejificha humo kwenye hiyo kazi.
Wanapora watu na kuwaumiza.
Zipo nyingi mzee boda boda boda wanawindwa kama swala porini lengo ni kuibiwa pikipiki bado dhulma kwa wateja mf mtu unampeleka kwake Mida mibovu anakuambia nisubiri hapa nakuletea nauli anapita mlango wa nyuma anapoteaChangamoto tafadhali