Vhagar
JF-Expert Member
- Jun 8, 2015
- 20,550
- 39,949
Sijui hata nani kawaloga. Unaweka maelezo yote kamili bei na njia ya mawasiliano etc.
Anakuja mtu anakuuliza maswali ambayo majibu yake kwenye maelezo ulishaweka. Yaani mwisho wa siku ni usumbufu tu. Anakwambia naomba picha zaidi wakati picha za kutosha umeshaweka kwenye tangazo. Mwingine anauliza bei tena wakati bei umeshaweka.
Anakuja anakusumbua maswali kibao mwisho wa siku anakwambia eti niidhani hivi na vile. Una muuliza ina maana maelezo ya bidhaa hukusoma kwenye Tangazo?
Ingawa wateja serious wachache sana pia huwa wapo tena hawanaga mambo mengi ni anakuja tu moja kwa moja anauliza discount na njia ya kuipata.
KUTOKA KWA WADAU;
Kwa uzoefu wao pia mara nyingi wateja serious husoma maelezo ya bidhaa husika na mara nyingi hupiga simu moja kwa moja. Ila wale wateja wasio serious me nawaita wazururaji wa mitandaoni. wao kila sehemu wanataka kufanya kijiwe muanze kupiga story ndio huja na maswali ambayo majibu tayari yapo kwenye maelezo ya bidhaa husika.
KUHUSU UTAPELI;
Ni kweli kuwa upo kwa baadhi ya wauzaji. Jambo la msingi mara nyingi matapeli upendelea kuweka location kuwa wanapatikana Zanzibar. Hapo kuwa makini, wengine hawasemi kuwa wanapatikana wapi ukimfata inbox au ukimtext kuwa unahitaji bidhaa ataanza yeye kukuuliza kuwa unapatikana wapi ili ataje eneo tofauti na ww ulilopo ili mwisho wa siku utakiwe kutuma pesa atume mzigo.
Ukichumguza kwa makini utagundua picha za bidhaa ni za kudownload. Ila muhimu ni vyema kwa mara ya kwanza pendelea kama unajamaa yako mkoa husika ampelekee bidhaa yeye then jamaa yako akutumie.
Pendelea kujua bei halisi ya bidhaa. Mfano bidhaa fulani inauzwaga laki moja unakuta mtu ameweka bei nusu yake. Embu shtuka hata ww mwenyewe hujiulizi.(hapa nazungumzia kwa bidhaa mpya)
Siku hizi comment huwa wanafunga kwanini ufunge comment?? Hapo pia pita mbali.
Anakuja mtu anakuuliza maswali ambayo majibu yake kwenye maelezo ulishaweka. Yaani mwisho wa siku ni usumbufu tu. Anakwambia naomba picha zaidi wakati picha za kutosha umeshaweka kwenye tangazo. Mwingine anauliza bei tena wakati bei umeshaweka.
Anakuja anakusumbua maswali kibao mwisho wa siku anakwambia eti niidhani hivi na vile. Una muuliza ina maana maelezo ya bidhaa hukusoma kwenye Tangazo?
Ingawa wateja serious wachache sana pia huwa wapo tena hawanaga mambo mengi ni anakuja tu moja kwa moja anauliza discount na njia ya kuipata.
KUTOKA KWA WADAU;
Kwa uzoefu wao pia mara nyingi wateja serious husoma maelezo ya bidhaa husika na mara nyingi hupiga simu moja kwa moja. Ila wale wateja wasio serious me nawaita wazururaji wa mitandaoni. wao kila sehemu wanataka kufanya kijiwe muanze kupiga story ndio huja na maswali ambayo majibu tayari yapo kwenye maelezo ya bidhaa husika.
KUHUSU UTAPELI;
Ni kweli kuwa upo kwa baadhi ya wauzaji. Jambo la msingi mara nyingi matapeli upendelea kuweka location kuwa wanapatikana Zanzibar. Hapo kuwa makini, wengine hawasemi kuwa wanapatikana wapi ukimfata inbox au ukimtext kuwa unahitaji bidhaa ataanza yeye kukuuliza kuwa unapatikana wapi ili ataje eneo tofauti na ww ulilopo ili mwisho wa siku utakiwe kutuma pesa atume mzigo.
Ukichumguza kwa makini utagundua picha za bidhaa ni za kudownload. Ila muhimu ni vyema kwa mara ya kwanza pendelea kama unajamaa yako mkoa husika ampelekee bidhaa yeye then jamaa yako akutumie.
Pendelea kujua bei halisi ya bidhaa. Mfano bidhaa fulani inauzwaga laki moja unakuta mtu ameweka bei nusu yake. Embu shtuka hata ww mwenyewe hujiulizi.(hapa nazungumzia kwa bidhaa mpya)
Siku hizi comment huwa wanafunga kwanini ufunge comment?? Hapo pia pita mbali.