Kufanya biashara na Watanzania mtandaoni ni taabu sana

Kufanya biashara na Watanzania mtandaoni ni taabu sana

mimo huwa naweka details zote za bidhaa husika

naweka location yangu

naweka namba za simu

napost halafu nafunga comment section.

wateja serious wanavuta waya tu na kuja tunafanya biashara

Yaani kitu hata Kama nina shida Nacho mpaka mwisho
Nikikuta comment section imefungwa siwezi hata kujaribu.

Mfanyabiashara gani unaogopa challenge Za wateja?

Unaweakness gani unazoogopa zitakua exposed kwenye comments?
 
mimo huwa naweka details zote za bidhaa husika

naweka location yangu

naweka namba za simu

napost halafu nafunga comment section.

wateja serious wanavuta waya tu na kuja tunafanya biashara
Unapoteza wateja. Comment acha hakuna sababu ya kuzifunga. Ukiulizwa jibu maswali ya msingi. Mtu akiuliza swali ambalo lina majibu kwenye post, huyo si mteja unaachana nae ukiweza.
 
Back
Top Bottom