Kufanya kazi vijijini nilikuwa nasikiaga tu kwa jirani

Kufanya kazi vijijini nilikuwa nasikiaga tu kwa jirani

Mbona mapema sana. Hapo bado hujaanza kununua suruali za marinda mnadani, kisha na viatu vikubwa vya kamba, na mabuti ya mvua. Utaanza kupaka rays. Kutoka hapo utanunua pikipiki used ya laki nane kwa mkopo wa faidika, utakodi shamba na kulima nyanya-nakuona na zile pump za kupiga dawa mgongoni. Nyanya zitakukata. Utaamua kufungua "Kinyozi" kama hicho inachokiponda.......
 
Mbona mapema sana. Hapo bado hujaanza kununua suruali za marinda mnadani, kisha na viatu vikubwa vya kamba, na mabuti ya mvua. Utaanza kupaka rays. Kutoka hapo utanunua pikipiki used ya laki nane kwa mkopo wa faidika, utakodi shamba na kulima nyanya-nakuona na zile pump za kupiga dawa mgongoni. Nyanya zitakukata. Utaamua kufungua "Kinyozi" kama hicho inachokiponda.......

😂😂😂😂😂🙌
 
Hapana mi ni msafi sana mazingira tu sio mazuri chumba ni gofu tu ukideki Asubuhi ukirudi job SAA Tisa chini mchwa washajenga,sema nyumba zao ni za zamani sana,chumba ninacholala kina ufa juu mpaka chini nakiogopa sijui kama hakitanidondokea na mvua zinazoanza na upepo mkali acha tu rafiki angu usicoment ivi mimi naishi mazingira magumu sana mshahara laki mbili tu.
Ni kazi gani hiyo inakutesa hivo mkuu

Sent from my Infinix X669 using JamiiForums mobile app
 
Mbona mapema sana. Hapo bado hujaanza kununua suruali za marinda mnadani, kisha na viatu vikubwa vya kamba, na mabuti ya mvua. Utaanza kupaka rays. Kutoka hapo utanunua pikipiki used ya laki nane kwa mkopo wa faidika, utakodi shamba na kulima nyanya-nakuona na zile pump za kupiga dawa mgongoni. Nyanya zitakukata. Utaamua kufungua "Kinyozi" kama hicho inachokiponda.......
Aaaah kmmmk unaelezea kama unamwona muhusika!
 
Tupia picha ya hicho kijiji
Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.

Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.

Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
 
Mbona mapema sana. Hapo bado hujaanza kununua suruali za marinda mnadani, kisha na viatu vikubwa vya kamba, na mabuti ya mvua. Utaanza kupaka rays. Kutoka hapo utanunua pikipiki used ya laki nane kwa mkopo wa faidika, utakodi shamba na kulima nyanya-nakuona na zile pump za kupiga dawa mgongoni. Nyanya zitakukata. Utaamua kufungua "Kinyozi" kama hicho inachokiponda.......
[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji23]
 
Mbona mapema sana. Hapo bado hujaanza kununua suruali za marinda mnadani, kisha na viatu vikubwa vya kamba, na mabuti ya mvua. Utaanza kupaka rays. Kutoka hapo utanunua pikipiki used ya laki nane kwa mkopo wa faidika, utakodi shamba na kulima nyanya-nakuona na zile pump za kupiga dawa mgongoni. Nyanya zitakukata. Utaamua kufungua "Kinyozi" kama hicho inachokiponda.......
Ila wewe😅😅😅
 
Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.

Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.

Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
Hukuhamia huko kijijini na huyo bwanako anayekusimanga kila akikupa elfu 1? NB: cold water unanzisha thread za uongo ili kufurahisha baraza?
 
Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.

Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.

Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
unadharau fursa badala uichangamkie unalela vichekesho.

hakana watu wanaenjoy kama watumishi wa umma vijijini, wengi hivi sasa ndio wana nyumba bora binafsi walizojenga wenyewe,

ndio sasa matajiri wa mazao ya kilimo, wanaomiliki mashamba makubwa, bar na gest house zilizoboreshwa,

ndio hivi sasa wanamiliki mastationaries na maduka ya madawa....,

ndio Wakopeshaji wakubwa (kausha damu vijijini) na watu vijijini walivyo waoga hawapitishi siku lazima wajisalimishe huku wakija na jogoo mkubwa wa elfu20 unamchukua kwa marejesho ya elfu5 kama comparation ya marejesho......

Tumia iyo kama fursa utatoboa...
 
Back
Top Bottom