Kufanya kazi vijijini nilikuwa nasikiaga tu kwa jirani

Kufanya kazi vijijini nilikuwa nasikiaga tu kwa jirani

unadharau fursa badala uichangamkie unalela vichekesho.

hakana watu wanaenjoy kama watumishi wa umma vijijini, wengi hivi sasa ndio wana nyumba bora binafsi walizojenga wenyewe,

ndio sasa matajiri wa mazao ya kilimo, wanaomiliki mashamba makubwa, bar na gest house zilizoboreshwa,

ndio hivi sasa wanamiliki mastationaries na maduka ya madawa....,

ndio Wakopeshaji wakubwa (kausha damu vijijini) na watu vijijini walivyo waoga hawapitishi siku lazima wajisalimishe huku wakija na jogoo mkubwa wa elfu20 unamchukua kwa marejesho ya elfu5 kama comparation ya marejesho......

Tumia iyo kama fursa utatoboa...
Ubaya hili jamaa lilianzisha thread za utani. Vijijini sasa hivi walimu ni matajiri. Nimeenda huko Tanganyika kijiji kimoja hivi nikakuta mwalimu kufungua biashara ya agent wa Bia na wakala anapiga hela siyo mchezo! Huyo ukimwambia unamhamishia mjini hakualewi!
 
Ubaya hili jamaa lilianzisha thread za utani. Vijijini sasa hivi walimu ni matajiri. Nimeenda huko Tanganyika kijiji kimoja hivi nikakuta mwalimu kufungua biashara ya agent wa Bia na wakala anapiga hela siyo mchezo! Huyo ukimwambia unamhamishia mjini hakualewi!
sure!!!?
 
Acha kazi uende mjini!! watu Wanaishi sehemu hata umeme hakuna,saloni, nyumba za mabanda na wanaona sawa tu
 
Mishahara laki mbili tu.
Just fvckin 200,000/-
What a hell of a shit life! Could you believe it?
Duh, basi avumilie hapo hapo.

Ila huyu mwenzetu ni jinsia gani?
 
Wewe si ndio umefungua uzi mmeo ameshindwa kukupatia mimba?.
Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.

Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.

Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
 
Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.

Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.

Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
Acha kazi ukapumzike mjini Raha mustarehe
 
Hapana mi ni msafi sana mazingira tu sio mazuri chumba ni gofu tu ukideki Asubuhi ukirudi job SAA Tisa chini mchwa washajenga,sema nyumba zao ni za zamani sana,chumba ninacholala kina ufa juu mpaka chini nakiogopa sijui kama hakitanidondokea na mvua zinazoanza na upepo mkali acha tu rafiki angu usicoment ivi mimi naishi mazingira magumu sana mshahara laki mbili tu.
Umepanga nyumba mbovu
 
Kuna zahanati ipo simiyu..ina manesi wawili tu...kila daktari akipangiwa kule anakimbia....
Umeme upo
Network hakuna yakutafta tafta
Wananchi wanaanzia kwa waganga kwanza alafu zahanati
Maji ya bwawani
Kijijini pasikie tu kwa mwenzio..kijana ukienda uko hutoboi
Inaitwaje?
 
Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.

Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.

Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
Kila siku unabuni story mpya. hongera uko vizuri sana
 
Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.

Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.

Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
Tafuta kuku wa kienyeji hapo kjjn maisha yatabadilika mpaka ushangae.Huyo demu atakupa Siri ya kuishi hapo kwa furaha na kukupa michongo hakikisha huyo demu hajawahi kwenda mjini n akarudi kijijini utakutana na UTI iliyoshindikana hadi korodani zikatike
 
Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.

Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.

Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
Mbona matatizo yamekuandama hivyo afsa ? Mpwayungu village akija hapa sijui kama mtaelewana na hivi anachukia walimu kweli kweli.
 
Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.

Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.

Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
Karibu mkuu,sie tumeshazoea,hiyo salon sisi ndio sehemu zetu za kupigia story usiku,kunawekwa ki TV cha Panasonic chogo inch 14 basi raha tupu...
 
Back
Top Bottom