Bush Dokta
JF-Expert Member
- Apr 11, 2023
- 24,831
- 45,154
Sasa wanaokula tozo ni akina Steve na Kina kihongosi tu na JokateWakati Rais anawaambia watu wa Mjini lipeni tozo tuboreshe Haya maisha Vijijini mlikuwa mnamtukana,komaeni Sasa.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Sasa wanaokula tozo ni akina Steve na Kina kihongosi tu na JokateWakati Rais anawaambia watu wa Mjini lipeni tozo tuboreshe Haya maisha Vijijini mlikuwa mnamtukana,komaeni Sasa.
Hapana mi ni msafi sana mazingira tu sio mazuri chumba ni gofu tu ukideki Asubuhi ukirudi job SAA Tisa chini mchwa washajenga,sema nyumba zao ni za zamani sana,chumba ninacholala kina ufa juu mpaka chini nakiogopa sijui kama hakitanidondokea na mvua zinazoanza na upepo mkali acha tu rafiki angu usicoment ivi mimi naishi mazingira magumu sana mshahara laki mbili tu.
Hizo ni shida zakoSasa wanaokula tozo ni akina Steve na Kina kihongosi tu na Jokate
Shida za vijijini mzee huoni vijana wanalia?Hizo ni shida zako
Ndo umeanza kumtukana. Wewe ni mjinga wa kwanza.[emoji23][emoji23]Kuna wajinga watakuja hapa watasema kuwa huna akili[emoji38][emoji38]
Hao manesi kama ni ke na dk ni me panakalika vizuri sana.Kuna zahanati ipo simiyu..ina manesi wawili tu...kila daktari akipangiwa kule anakimbia....
Umeme upo
Network hakuna yakutafta tafta
Wananchi wanaanzia kwa waganga kwanza alafu zahanati
Maji ya bwawani
Kijijini pasikie tu kwa mwenzio..kijana ukienda uko hutoboi
🙄🙄Shida za vijijini mzee huoni vijana wanalia?
Doh 😆🙌Choo cha shimo afu kimejaa ukidosha ndoga inakurudishia chenji kwa tako
Alokwambia sinza na tabata mjini nani?Pole sana mkuu,mimi kwasasa natoka Sinza naelekea Tabata duniani sio wote lazima tufanane pambana
Nimependa saana ushauri wako. Kuna watu wanbwabwaja tu humu hata hawana la maana kumshauri jamaa..Tafuta dawa ya wadudu kuna ile ya unga inasaidia sana kukimbiza wadudu, pia tafuta solar ndogo kwa ajili ya taa na back up umeme ukikatika
Mwisho wa siku pambana tu, bora wewe upo leo 2023 sisi wazee wetu walisomeshwa miaka hiyo ya 60's baada tu ya uhuru
Sasa pata picha ya vijiji vya enzi hizo, mbona sasa hivi kuna afadhali kubwa sana hivyo komaa tu
Kwanini usisakafie vema, piga dari safi, dawa za mchwa zipo. Panda maua na mboga nje hadi wenyeji wakuone kweli wewe mwalimu.Hapana mi ni msafi sana mazingira tu sio mazuri chumba ni gofu tu ukideki Asubuhi ukirudi job SAA Tisa chini mchwa washajenga,sema nyumba zao ni za zamani sana,chumba ninacholala kina ufa juu mpaka chini nakiogopa sijui kama hakitanidondokea na mvua zinazoanza na upepo mkali acha tu rafiki angu usicoment ivi mimi naishi mazingira magumu sana mshahara laki mbili tu.
nyie si ndo mnaimba Tz ya samia inawaka waka ....kula chuma hicho.Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.
Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.
Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.