Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha
Acha ujinga dawa za kuua wadudu hazipo mjini ununue? Acha kazi basi.Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.
Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.
Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
Wewe unaona ana akili huyo? Dawa za wadudu hazipo?Kuna wajinga watakuja hapa watasema kuwa huna akili😆😆
acha kulalamika,acha kazi njoo town tucheze draftYamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.
Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.
Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
😂Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.
Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.
Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
😂Mwalimu jikite na kufundisha ndio Kazi tuliyokupa ,huku town kitambaa cheupe ,madem wakali wote WA kinondoni ,sinza ,tutabaki tunawala Sisi [emoji23][emoji23]
Hakikisha unafuga kuku ...
Wakati Rais anawaambia watu wa Mjini lipeni tozo tuboreshe Haya maisha Vijijini mlikuwa mnamtukana,komaeni Sasa.Tanzania tunasikitisha sana vijijini.
Kuna kijiji nilienda maji yana rangi ya juisi ya ukwaju na wazawa wanakunywa bila hofu.
Guest niliofikia wanauliza kabisa kama utaoga asubuhi au jioni maana unapata ndoo moja tu kwa kila kutwa moja ya makazi.
Vp popobawaNangale uko...kwanza nilikabwa usiku sina ham napo
Ccm mbere kwa mbereYamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.
Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.
Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
Noma sanaTanzania tunasikitisha sana vijijini.
Kuna kijiji nilienda maji yana rangi ya juisi ya ukwaju na wazawa wanakunywa bila hofu.
Guest niliofikia wanauliza kabisa kama utaoga asubuhi au jioni maana unapata ndoo moja tu kwa kila kutwa moja ya makazi.
Hutoboi mzeeKuna zahanati ipo simiyu..ina manesi wawili tu...kila daktari akipangiwa kule anakimbia....
Umeme upo
Network hakuna yakutafta tafta
Wananchi wanaanzia kwa waganga kwanza alafu zahanati
Maji ya bwawani
Kijijini pasikie tu kwa mwenzio..kijana ukienda uko hutoboi
Hahaaaa kama uko Amazon forestKuna vijijin vingine unaweza hisi sio tanzania. Wadudu, baridi kali, giza, misitu, milima ya kutisha, wakati wa mvua hata kuku wanateleza sio aisee