Biggs
JF-Expert Member
- May 3, 2014
- 2,068
- 2,314
Na hapo unaona MAISHA SII NDIO HAYA !!!Mkuu wewe😀😀
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Na hapo unaona MAISHA SII NDIO HAYA !!!Mkuu wewe😀😀
[emoji1787]kmmmkTanzania tunasikitisha sana vijijini.
Kuna kijiji nilienda maji yana rangi ya juisi ya ukwaju na wazawa wanakunywa bila hofu.
Guest niliofikia wanauliza kabisa kama utaoga asubuhi au jioni maana unapata ndoo moja tu kwa kila kutwa moja ya makazi.
Unakua wewe ndiye tajiri kijiji kizima😀Na hapo unaona MAISHA SII NDIO HAYA !!!
Wewe n mwalimu wa shule Msingi siyoHapana mi ni msafi sana mazingira tu sio mazuri chumba ni gofu tu ukideki Asubuhi ukirudi job SAA Tisa chini mchwa washajenga,sema nyumba zao ni za zamani sana,chumba ninacholala kina ufa juu mpaka chini nakiogopa sijui kama hakitanidondokea na mvua zinazoanza na upepo mkali acha tu rafiki angu usicoment ivi mimi naishi mazingira magumu sana mshahara laki mbili tu.
[emoji1787]kmmmk, kitakachofuata hapo ni kifo tu.Mbona mapema sana. Hapo bado hujaanza kununua suruali za marinda mnadani, kisha na viatu vikubwa vya kamba, na mabuti ya mvua. Utaanza kupaka rays. Kutoka hapo utanunua pikipiki used ya laki nane kwa mkopo wa faidika, utakodi shamba na kulima nyanya-nakuona na zile pump za kupiga dawa mgongoni. Nyanya zitakukata. Utaamua kufungua "Kinyozi" kama hicho inachokiponda.......
Piga picha tuoneYamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.
Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.
Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
We jamaa mnoko sana eti hakikisha unafuga kuku🤣🤣🤣🤣🤣Mwalimu jikite na kufundisha ndio Kazi tuliyokupa ,huku town kitambaa cheupe ,madem wakali wote WA kinondoni ,sinza ,tutabaki tunawala Sisi [emoji23][emoji23]
Hakikisha unafuga kuku ...
Tulikubaliana na mwenye Nyumba kubadili chumba taratibu.Na alipoona kuwa inawezekana akahamisha fikra kuwa kumbe ni swala dogo sana ukifanya taratibu.Pole sana. But shukuru kwamba angalau una sehemu ya kupatia maokoto. Ever heard about Acres of Diamond?
Kuna wengine wengi tu wanatamani japo robo ya kile ulicho nacho wewe, na hawajahi kukipata -- mchana kutwa, usiku kucha wanahangaika miaka nenda rudi.
NB: Jaribu wewe mwenyewe kuwa badiliko unalotamani kuliona ulimwenguni.
Again, pole sana. It's never a laughing matter.
We chalii unapenda kuchangamsha genge hapaYamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.
Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.
Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
Hizo zote ni fursa wewe wacha kupondea maisha ya kijijini! Jiongeze mwalimu uweke vitu vya maana. Kopa hela benki ujenge nyumba ya kupangisha hao maafisa wenzio! Weka salon nzuri upige hela mwalimu!Yamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.
Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.
Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
Choo cha shimo afu kimejaa ukidosha ndoga inakurudishia chenji kwa takoYamenikuta natamani kulia, nimepata ajira somewhere jamani chumba ni wadudu tu mda wote hata raha hamna masisimizi kibao hadi kitandani, kipindi cha mvua kinaanza chumba kinavuja, majongoo yanaingiaga ndani unaweza sema Niko nje network hakuna ni baadhi tu ya maeneo network inakamata.
Ajira ajira za vijijini ni mateso hapa ninavyoongea umeme hamna nimebakiwa na asilimia 5% umeme umekata tangu SAA 5 Asubuhi.
Nilikuwa nasikia tu ajira za vijijini sasa najionea kwa macho huduma za kijamii chache mateso!!! mateso!!! Saluni zao za kunyoa sasa ha ha ha jamani jamani mchwa wametawala chumba cha kinyozi hakuna capeti ni vumbi mlangoni limewekwa pazia tu unaweza sema uko mgahawani.
😂😂 ila watuNa mkikutana kilabuni maongezi yenu ni...... "Kuku Wangu Ameanza Kutaga Mayai"
Leo Kamchape wanapita kwa baba mwenye nyumba.😁😁😁Au mzee fulani kanasa akiwa anawanga kwenye nyumba ya mchungaji.
Pump za dawa za Nyanya 😁😁😁 ukipiga vibaya upepo ukaingia usoni ni kuwashwa wiki nzima.😁😁😁Mbona mapema sana. Hapo bado hujaanza kununua suruali za marinda mnadani, kisha na viatu vikubwa vya kamba, na mabuti ya mvua. Utaanza kupaka rays. Kutoka hapo utanunua pikipiki used ya laki nane kwa mkopo wa faidika, utakodi shamba na kulima nyanya-nakuona na zile pump za kupiga dawa mgongoni. Nyanya zitakukata. Utaamua kufungua "Kinyozi" kama hicho inachokiponda.......