wanakataza watu sio Munguwhen you have sex with multiple partners you tend to build preferences.
This may lead to loosin out on potential partners bkoz of the preferencrs.
Thats why the bible inakataza, bkoz mtu ambae hajawahi kunyanduana, only thing ako anajua n ya huyo spouse wake.
I thnk thats why inakatazwa,
Mbona kama hatuponi 😂19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: uasherati, uchafu, ufisadi, 20 kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, mafarakano, uzushi, 21 husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha waonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama haya, hawataurithi Ufalme wa Mungu
Rudi kasome biblia vizuri, Kaangalie maana ya UasheratiWagalatia 5:19-21
19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: uasherati, uchafu, ufisadi, 20 kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, mafarakano, uzushi, 21 husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha waonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama haya, hawataurithi Ufalme wa Mungu.
Ukisoma hapo utakutana na neno UASHERATI, hivyo kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa ni dhambi.
Lakini mbona Mussa hakututetea pale mlima Sinai wakati wanaandika zile Amri 🥹Sex ni hitaji la kimwili la binadamu aliyebalehe/vunja ungo