binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Pale mlimani walisemwa wazinzi tu, waasherati hawahusiki 😂Lakini mbona Mussa hakututetea pale mlima Sinai wakati wanaandika zile Amri 🥹
Au labda inaingia kwenye “usitamani vitu vya jirani yako”?