binti kiziwi
JF-Expert Member
- Aug 4, 2014
- 11,201
- 28,642
Pale mlimani walisemwa wazinzi tu, waasherati hawahusiki 😂Lakini mbona Mussa hakututetea pale mlima Sinai wakati wanaandika zile Amri 🥹
Hapa sahihi pasomeke kufanya ”ngono”!!!Wagalatia 5:19-21
19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: uasheratiMungu.
Ukisoma hapo utakutana na neno UASHERATI, hivyo kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa ni dhambi.
si ndo hapo sasa. Mara nikakute bwawa tuanze kuachanakwani amri za Mungu moja wapo si inasema usizini? na wimbo uliobora pia unasema usiyachochee mapenzi mpaka yatakapo ona vyema yenyewe
ila hata mimi siwezi olewa na mtu sijajua kama yaliyomo yamo au hayamo
😂😂 unataka kusemaje kwa wavunja amri ya 6? Sio waasherati?Pale mlimani walisemwa wazinzi tu, waasherati hawahusiki 😂
Au labda inaingia kwenye “usitamani vitu vya jirani yako”?
ya nini 😂😂😂si ndo hapo sasa. Mara nikakute bwawa tuanze kuachana
😂😂 Kuna andiko hapo nimepandisha juu, na kuna mtu kapandisha.😂😂 unataka kusemaje kwa wavunja amri ya 6? Sio waasherati?
Cha jirani umetamani kikojoleo chake au😆
Ngoja nirejee kusoma.😂😂 Kuna andiko hapo nimepandisha juu, na kuna mtu kapandisha.
Hakuna kupona dada, motoni straight 😂🙌🏻
Si ndiooo!!! 😂🙌🏻🙌🏻Ngoja nirejee kusoma.
Uzuri ametuahidi kwamba ‘ hata ziwe nyekundu kama damu, anazisafisha ukijirudi 😌
🥲Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala ...
Uasherati ni neno panaPale mlimani walisemwa wazinzi tu, waasherati hawahusiki 😂
Au labda inaingia kwenye “usitamani vitu vya jirani yako”?
Okay….. sikuwa nafahamu.Uasherati ni neno pana
Hata wazinzi wapo kwenye kundi la waasherati
Nini sasa, usilie soma comment ya depal huko juu kuwa kuna msamaha hata kama zikiwa nyekundu namna gani 🤣
Hii kuzini tutaenda wote🤣🤣🤣Nini sasa, usilie soma comment ya depal huko juu kuwa kuna msamaha hata kama zikiwa nyekundu namna gani 🤣
Hawa mi nafahamu ni wazinzi, kuna comment ya member huko juu amesema waasherati ni neno jumuishi, ngoja waje Bakita……waasherati ni wale waliokwisha ingia kwenye ndoa alafu wakachepuka
Kwahiyo maana ya Uasherati ni kufanya mapenzi kabla ya Ndoa ?? 🤣🤣🤣🤣Wagalatia 5:19-21
19 Basi matendo ya mwili ni dhahiri nayo ni haya: uasherati, uchafu, ufisadi, 20 kuabudu sanamu, uchawi, uadui, ugomvi, wivu, hasira, fitina, mafarakano, uzushi, 21 husuda, ulevi, ulafi na mambo mengine yanayofanana na hayo. Nawaonya, kama nilivyokwisha waonya kabla, kwamba watu watendao mambo kama haya, hawataurithi Ufalme wa Mungu.
Ukisoma hapo utakutana na neno UASHERATI, hivyo kufanya tendo la ndoa kabla ya ndoa ni dhambi.
😂😂😂😂Kwa Mange kulikuwa na clip ya askofu sijui pastor yule anavyoiomba na ukimwangalia hafananii nilicheka aisee!Hii kuzini tutaenda wote🤣🤣🤣