Kufanya ngono kabla ya ndoa ni dhambi au sio dhambi?

kwani amri za Mungu moja wapo si inasema usizini? na wimbo uliobora pia unasema usiyachochee mapenzi mpaka yatakapo ona vyema yenyewe



ila hata mimi siwezi olewa na mtu sijajua kama yaliyomo yamo au hayamo
si ndo hapo sasa. Mara nikakute bwawa tuanze kuachana
 
Pale mlimani walisemwa wazinzi tu, waasherati hawahusiki 😂

Au labda inaingia kwenye “usitamani vitu vya jirani yako”?
😂😂 unataka kusemaje kwa wavunja amri ya 6? Sio waasherati?

Cha jirani umetamani kikojoleo chake au😆
 
😂😂 unataka kusemaje kwa wavunja amri ya 6? Sio waasherati?

Cha jirani umetamani kikojoleo chake au😆
😂😂 Kuna andiko hapo nimepandisha juu, na kuna mtu kapandisha.

Hakuna kupona dada, motoni straight 😂🙌🏻
 
Msidanganyike; waasherati hawataurithi ufalme wa Mungu, wala waabudu sanamu, wala wazinzi, wala wafiraji, wala walawiti, wala wevi, wala watamanio, wala ...
waasherati ni wale waliokwisha ingia kwenye ndoa alafu wakachepuka
 
waasherati ni wale waliokwisha ingia kwenye ndoa alafu wakachepuka
Hawa mi nafahamu ni wazinzi, kuna comment ya member huko juu amesema waasherati ni neno jumuishi, ngoja waje Bakita……
 
Kwahiyo maana ya Uasherati ni kufanya mapenzi kabla ya Ndoa ?? 🤣🤣🤣🤣
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…