Kufariki kwa mwanafunzi wa Kidato cha Nne Thaqaafa Sec Mwanza usiku wa kuamkia tarehe 20/03/2022, uzembe wa shule hii umulikwe

Shule nyingi za kiisilamu haziko kwenye viwango vya uendeshaji, unajua Morogoro kuna chuo kikuu kinachomilikiwa na BAKWATA! Wengi hawajui.
Ile shule sio ya kiislamu inapokea madhehebu yote bila ubaguzi japo mkrugezi wao ni muislamu.
 
Wabongo msiwe na haraka ya kusikiliza upande mmoja na kuchukua maamuzi, huyu ni member tu, hatuna uhakika akisemacho.

Mwenye watoto pale au anaetaka kupeleka watoto wake kusoma ni heri awaone thaqafa wenyewe.

Ni maoni yangu.
 
iyo ni shule ni kongwe sijui wanakwama wapi,ilipo shule na hospitali ya mkoa Sekou toure ni pua na mdomo.
 
Halafu siku hizi wameshuka sana hata kwenye matokeo dawa ni kutopoleka watoto tu, halafu hii shule iko mjini kabisa kutoka thaqafa hadi seketure ni dk 10 tu, kwenda Mwanza hospital dk 5, Uhuru hospital dk 10, mtoto anakufaje bwenini?
Sijui Imepatwa na nini siki hizi...

Zamani walikuwa wanashindana na Taqwa...

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mmh ohooooo

Ova
 
Shida inaletwa na madam Opiyo kwanini anafanya maisha kuwa magumu kwa wanafunzi/ wanetu?

Hii haipo sawa inaleta shida na mvunjiko wa Mila shule ni mult religious why christians have no place for religious while Islamic have?

This isn't fair wewe unadhani watoto hawana dini?

Tuwe fair
 
Angalieni shule za kupeleka watoto wenu, kuna baadhi ya shule watoto wanaenda kuongeza ujinga
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…