Ile shule sio ya kiislamu inapokea madhehebu yote bila ubaguzi japo mkrugezi wao ni muislamu.Shule nyingi za kiisilamu haziko kwenye viwango vya uendeshaji, unajua Morogoro kuna chuo kikuu kinachomilikiwa na BAKWATA! Wengi hawajui.
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ile shule sio ya kiislamu inapokea madhehebu yote bila ubaguzi japo mkrugezi wao ni muislamu.Shule nyingi za kiisilamu haziko kwenye viwango vya uendeshaji, unajua Morogoro kuna chuo kikuu kinachomilikiwa na BAKWATA! Wengi hawajui.
Mmiliki ni nani?ile shule sio ya kiislamu inapokea madhehebu yote bila ubaguzi japo mkrugezi wao ni muislamu.
Inamilikiwa na wakurugenzi zaidi ya watano isipo kua menaja wa shule Magongo ndo anae onekana zaidi pale shuleni.Mmiliki ni nani?
Wenyewe huwa mnadanganyana eti wakapate ilimu!!Mwaka huu mwisho nahamisha wanangu
Hivi Thaqaafa ilikua ya wale wagombea ubwabwa wa Thaqib?Hawana jipya waje
Ni shule ya muda mrefu kidogo hapo MwanzaSijawahi hata kuisikia hiyo Shule,lazima ufaulu wake utakuwa wa ki-zuzuzuzu
Sijui Imepatwa na nini siki hizi...Halafu siku hizi wameshuka sana hata kwenye matokeo dawa ni kutopoleka watoto tu, halafu hii shule iko mjini kabisa kutoka thaqafa hadi seketure ni dk 10 tu, kwenda Mwanza hospital dk 5, Uhuru hospital dk 10, mtoto anakufaje bwenini?
MjaruoSiyo Muha kweli huyo?
Mmh ohoooooHuu sasa ni upuuzi, kama mtu anasema anaumwa, si umpeleke kwenye hospitali hiyo iliyokaribu ili apimwe, kama haumwi anasingizia si itaonekana tu? Sasa hiyo kuzurura inatoka wapi? Wawajibishwe haraka sana! Halafu angalieni na majina ya shule , ‘Thaqaafa’ , just imagine..
OhoooooShule nyingi za kiisilamu haziko kwenye viwango vya uendeshaji, unajua Morogoro kuna chuo kikuu kinachomilikiwa na BAKWATA! Wengi hawajui.
Angalieni shule za kupeleka watoto wenu, kuna baadhi ya shule watoto wanaenda kuongeza ujingaKichwa cha habari hapo juu chahusika.
Mimi ni mzazi ambaye watoto wangu kadhaa wanasoma shule tajwa iliyopo jijini Mwanza.
Kwa huzuni kubwa naandika ujumbe huu kulaumu uongozi wa ThaqaafseSec kwa uzembe ambao umekuwa ukitokea mara kwa mara watoto wakiumwa nyakati za usiku kwa wale wa bweni huwa hawapewi ruhusa kwa kudhaniwa kuwa wanakwenda zurura.
Hii hata mimi ilinitokea kwa mwanangu last year; alipozidiwa ndipo wakampeleka Hosp yao ya Al ijumaa, tena jirani kabisa na shule nami nikapigiwa simu mida mibovu ilinibidi kufika hosp na kulala na tiba hakupata kwa wakati, wanadai bima nikawaambia anayo hawakunielewa nikahamisha mtt kwenda hospitali nyingine asubuhi yake.
Juzi mtoto wa F4 kafariki kizembe kwa kunyimwa ruhusa na mkuu wa shule Madam Opiyo mpaka kijana akazidiwa kumpeleka hosp ikawa too late leo amezikwa kwao Jijini Mwanza.
Nitoe rai kwa Mzee Magongo, kamati ya shule, bodi ya shule kufanya tathmini mapema Sana Opiyo & others watatuulia wanetu shule siyo jela na kutupandishia ada bila taarifa mkome mnaanza utapeli, walimu kila leo wanaacha kazi kwa kutolipwa mishahara Ada zetu mnapeleka wapi? Opiyo kazi yake uchawi na wanga tu kwa watoto wetu na kuoga mlangoni mwa ofisi ya meneja Mzee Magongo wakati kitaaluma shule inashuka Bora angebaki Sekitya Yule mganda shule ilikuwa Bomba kitaaluma hili mzee Magongo aliangalie Ila mwakani nahamisha wanangu full stop.
Nina hasira zangu na msiba wa mwanafunzi mniache.
CC Mkuu wa Wilaya Nyamagana
DSEO Nyamagana
KUU Nyamagana
RC Mwanza aione kwa jalada
Hakuna kitu Kama hiyo elimu IPO shida ni Opiyo mjaluo mpuuzi 1Angalieni shule za kupeleka watoto wenu, kuna baadhi ya shule watoto wanaenda kuongeza ujinga