Kufeli kwa mtoto wa kigogo kulivyobadili namna ya kutangaza Matokeo ya NECTA

The Burning Spear

JF-Expert Member
Joined
Dec 23, 2011
Posts
4,118
Reaction score
9,864
Back to those years, huenda vijana wa Leo hamuelewi hili.

Iko ivi Enzi hizo Matokeo ya Mtihani yakitoka yalikuwa na majina pamoja na candidate numbers,

Ebana ee Kulitokea la kutokea binti wa Rais kipindi hicho 2005-2015. Alifeli peke yake darasa zima Div IV 27 shule maarufu hapo Mzizima.

You know what, kilichofuata ni kwamba kutaja majina ya wanafunzi ikaonekana hakuna tija watumie tu number zao. Hiyo ndo historia ya candidate numbers mpaka leo badala ya jina kwenye Matokeo ya NECTA.

Nafikiri mmenielewa.
 
Aisee..
 
Aliweka record ya 4 ya kwanza pale feza girls....
2016 sio namkumbuka vizuri tena kipindi hicho matokeo yanatoka.

Nipo form 2 naanza anza 2017 February hapo daaah skendo ilivuma from dar to chuga just imagine mazeee div 4 ya kwanza feza girls daaah ni aibu demu mwenyewe alikuwa anachukua arts si sayansi au business ila ndo hivyo sasa Mungu hawezi kupa kila kitu ila saizi anamaisha mazuri 🤣
 
Mtoa mada najua unamchukia Kikwete na samia bila shaka lakini usiwe muongo na mzushi.....sababu iliyopelekea kuacha kutumia majina ni kuiepuka taharuki ambayo ilianza kutokea ya watu kukimbilia kuangalia majina ya mwanafunzi na kuyahusisha na imani yake. Jambo hili lilianza kuchukua mkondo tofauti na hatimaye serikali ikaja na mbinu hiyo.
 
Acha kupindisha ukweli Mzee.
Mwanaasha ndo alileta yote haya.

Ilikuwa aibu kubwa sana Kwa Mzee kipindi hicho, watu tulicheka sana
 
2017 ulikua form 2
 
Don't beat around the bush. Ni Mwanaasha tu ndiyo ilikuwa sababu
 
Kwa hiyo kuna mpuuzi ameleta uamuzi mpya wa kutokutaja top ten ya shule zilizofanya vizuri na mwanafunzi bora kitaifa ili kuficha udhaifu mahali fulani?

Kwa hili baraza limechemka vibaya, ina maana hata kuwamotisha wale wafunzi tatu bora kwenye mitihani ya mihula ni nongwa kwa mtazamo huu?

Kwanza utaratibu wa kutoa matokea kwa namba ni wa kijinga sana. Yaani mtu mmoja alete mawazo yake ya kijinga kisha yakubaliwe na baraza kuwa ndiyo utaratibu muafaka? Hapana hii haitakubalika
 
Nakumbuka threads za kumuhusu.. ila watu hamna simile.. nilipita kwa kusoma tu mengi.

Natumaini sasa yupo anaendelea vizuri na maisha na sasa labda atakuwa aliendelea na masomo na kumaliza salama. Hata sasa labda ana mume na watoto..

Ila duh utafikiri hata alijulikana bali watu mlimchambua haswaaa..

Hivi mliomcheka yenu na watu wenu yaliendaje baada?
 
Political Power ni jambo la ajabu sana 😹
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…