karv
JF-Expert Member
- Dec 26, 2019
- 1,802
- 3,253
Huyo enzi ya dingi yake alikula shavu la ukurugenzi nahisiila huu msala wa majina umewakuta watoto wa vigogo wengi nakumbuka hata Jesca Magu nae kama sikosei yalimkuta, baada ya mshua kuwaita baadhi ya waliodahiliwa kwa miaka ile UDOM kuwa ni vilaza(ni kweli hawakuwa na sifa) raia wakajibu kwa kutoa matokeo yake ambayo hayakuwa mazuri kivile
Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app