Kufeli kwa mtoto wa kigogo kulivyobadili namna ya kutangaza Matokeo ya NECTA

Kufeli kwa mtoto wa kigogo kulivyobadili namna ya kutangaza Matokeo ya NECTA

Nakumbuka threads za kumuhusu.. ila watu hamna simile.. nilipita kwa kusoma tu mengi.

Natumaini sasa yupo anaendelea vizuri na maisha na sasa labda atakuwa aliendelea na masomo na kumaliza salama. Hata sasa labda ana mume na watoto..

Ila duh utafikiri hata alijulikana bali watu mlimchambua haswaaa..

Hivi mliomcheka yenu na watu wenu yaliendaje baada?
Alienda marekani saiv ana masters ni bosi kwenye kampuni flani kubwa,anawaajiri wale walipiga one kali
 
Yeah nilikuwa form 2 ila nimekosea yule aliyepiga 4 feza sio wa 2016 ni wa 2010[emoji16] nimejichanganya
Huu ni uongo ,matokeo ya mwaka 2008 yalikuja hayana majina bali number za mitihani hivyo si kweli kwamba kutoandika majina kulisababishwa na mtoto wa kigogo aliyefeli 2010
 
Back those years, huenda vijana wa Leo hamelewi hili.

Iko ivi Enzi hizo Matokeo ya Mtihani yakitoka yalikuwa na majina siyo candidate number kama ilivyo sasa. Kulitokea la kutokea binti wa Rais kipindi hicho 2005-2015. Alifail peke yake darasa zima Div IV 27 shule maarufu hapo Mzizima.

You know what, kilichofuata ni kwamba kutaja majina ya wanafunzi ikaonekana hakuna tija watumie tu number zao. Hiyo ndo historia ya candidate number badala ya jina kwenye Matokeo ya NECTA.

Nafikiri mmenielewa.
Siyo mzizima ni feza girls, four pekee kuwahi kutokea pale
 
2016 sio namkumbuka vizuri tena kipindi hicho matokeo yanatoka.

Nipo form 2 naanza anza 2017 February hapo daaah skendo ilivuma from dar to chuga just imagine mazeee div 4 ya kwanza feza girls daaah ni aibu demu mwenyewe alikuwa anachukua arts si sayansi au business ila ndo hivyo sasa Mungu hawezi kupa kila kitu ila saizi anamaisha mazuri 🤣
Kwasasa atakuwa majuu anakula pension ya faza
 
Kulitokea la kutokea binti wa Rais kipindi hicho 2005-2015. Alifail peke yake darasa zima Div IV 27 shule maarufu hapo Mzizima.
Usishangae alipata division kubwa kuliko wote (5) ila wakaamua wamuwekee hiyo 4 wasionekane wameshindwa kutunga paper
 
Msiwe na dhana mbovu, kuwa ukifeli masomo darasani ndio umefeli maisha.

Wanyalukolo wengi Kariakoo hata zero ya kidato cha 4 hawana, lakini wanaweza kukuajiri na div 1 yako ya six.
Kuna mfanyabiashara kkoo ana 1 ya 13 o level 1 ya 6 egm first class chuo anaingiza mil 13 daily usikariri kwamba kila toto linalofaulu darasani linaajiriwa fala ww fungua ubongo upate exposure
 
Acha kupindisha ukweli Mzee.
Mwanaasha ndo alileta yote haya.

Ilikuwa aibu kubwa sana Kwa Mzee kipindi hicho, watu tulicheka sana
Duuh
Screenshot_20230206-013732.png
 
Kuna mfanyabiashara kkoo ana 1 ya 13 o level 1 ya 6 egm first class chuo anaingiza mil 13 daily usikariri kwamba kila toto linalofaulu darasani linaajiriwa fala ww fungua ubongo upate exposure
[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
 
Mliofauli mpo wapi? Kati yenu na yeye nani anaisoma namba?

Matokeo yalipaswa kutolewa kwa namba miaka yote.
 
Back
Top Bottom