fogoh2
JF-Expert Member
- Apr 13, 2017
- 5,305
- 5,355
Alienda marekani saiv ana masters ni bosi kwenye kampuni flani kubwa,anawaajiri wale walipiga one kaliNakumbuka threads za kumuhusu.. ila watu hamna simile.. nilipita kwa kusoma tu mengi.
Natumaini sasa yupo anaendelea vizuri na maisha na sasa labda atakuwa aliendelea na masomo na kumaliza salama. Hata sasa labda ana mume na watoto..
Ila duh utafikiri hata alijulikana bali watu mlimchambua haswaaa..
Hivi mliomcheka yenu na watu wenu yaliendaje baada?