Kufeli kwa mtoto wa kigogo kulivyobadili namna ya kutangaza Matokeo ya NECTA

Kufeli kwa mtoto wa kigogo kulivyobadili namna ya kutangaza Matokeo ya NECTA

Oya huyu dogo katupindishia sheria sana si tuliosoma nae mwaka mmoja[emoji23][emoji23][emoji23]darasa la nne kurudia kulifutwa,darasa la saba kukawa kuna second selection mpaka awamu ya tatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]form two kurudia kukafutwa,form four kulikua na div four mpaka 40[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
[emoji38][emoji38][emoji38] duh aliwaokoa wengi,hapo basi mzee alichungulia akaona huko mbele nitapata aibu
 
Mnamfanya huyo mdada ajisikie vibaya kufeli kupo ila jinamizi la kufeli linaandama sana,lol...i have experienced that,lol
 
ila huu msala wa majina umewakuta watoto wa vigogo wengi nakumbuka hata Jesca Magu nae kama sikosei yalimkuta, baada ya mshua kuwaita baadhi ya waliodahiliwa kwa miaka ile UDOM kuwa ni vilaza(ni kweli hawakuwa na sifa) raia wakajibu kwa kutoa matokeo yake ambayo hayakuwa mazuri kivile
Sure na wahuni wakAmind wa udom wakawa wanaweka matokeo yake na supp zake😂😂 ..na wengine wakaenda mbali na kutaka kumdunga mimba..ndipo mkuu wa mkoa akaamua awe anatokea kwake kwenda chuoni..nadhani pia ilikua issue ys usalama zaid😂😂
 
Back those years, huenda vijana wa Leo hamelewi hili.

Iko ivi Enzi hizo Matokeo ya Mtihani yakitoka yalikuwa na majina siyo candidate number kama ilivyo sasa. Kulitokea la kutokea binti wa Rais kipindi hicho 2005-2015. Alifail peke yake darasa zima Div IV 27 shule maarufu hapo Mzizima.

You know what, kilichofuata ni kwamba kutaja majina ya wanafunzi ikaonekana hakuna tija watumie tu number zao. Hiyo ndo historia ya candidate number badala ya jina kwenye Matokeo ya NECTA.

Nafikiri mmenielewa.
Kichwa cha habari kisomeke ulalamishi wa waislamu dhidi ya mfumo kristo ndio ulifanya Necta kubadili utangazaji wa matokeo Kwa kutumia majina.

Matokeo ya shule za kiislamu na seminary za crusaders ni mbingu na Ardhi.
 
Kichwa cha habari kisomeke ulalamishi wa waislamu dhidi ya mfumo kristo ndio ulifanya Necta kubadili utangazaji wa matokeo Kwa kutumia majina.

Matokeo ya shule za kiislamu na seminary za crusaders ni mbingu na Ardhi.
Hapana Sina maana hiyo. Tunakoekekea Kwa akili hizi Hadi majina ya shule yatafichwa
 
Oya huyu dogo katupindishia sheria sana si tuliosoma nae mwaka mmoja[emoji23][emoji23][emoji23]darasa la nne kurudia kulifutwa,darasa la saba kukawa kuna second selection mpaka awamu ya tatu[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787]form two kurudia kukafutwa,form four kulikua na div four mpaka 40[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Aisee kumbe ilikuwa hatari
Asingetoboa
 
Nakumbuka mwaka wetu ndio wahanga wa kwanza 2006 matokeo ya form 4 yakatoka na Initials tu mfano Usher Smith nikaandikwa USH [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Sio kweli, matukio ya mtoto huyo unayosema yakitoka baada ya namba kutumika

Sasa ngoja nikwambie Kwanini namba zilianza kutumika badala ya majina

Kama ulikuwapo Tanzania miaka ya 2008,09,10 hadi 12 utakumbuka kulikuwa na vuguvugu la udini. Kuna dhehebu jipya la kiislamu Liliingia Liliingia kwa kasi na moja ya mbinu waliyotumia kupata waumini ni kuanzisha redio na kuanza kutoa mawaidha ya kusema kuwa nchi inaongozwa na mfumo Kristo.

Eti ma kanisa yamejipanga kufanya tanzania kuwa nchi ya kkrsto na Wali hakikisha wanafeslisha waislamu.

Malalamiko y alikuwa mengi ndio NECTA wakaona isiwe tabú wa kasema haya basi tutumie namba
Mtimdo wa wa namba siku za hivi karibuni ulianzia 2012. Tangu hapo matokeo yote ya 4 na 6 yalikuwa ya namba
 
Na we unaamini hilo, kabsaa?!!
Sasa hapo, kwa mamlaka yake, mbona ilikuwa issue ndogo sana......kuwaagiza tu necta mpeni point 8 huyu.

Kama kweli basi saluti kwake Jah Kaya...alikuwa na uwezo wa kubadili hayo matokeo kwa nafasi yake...kuna watu wadogo tu kicheo waga wanabadili matokeo...

Na mie huwa najiuliza, kweli walishindwa kumpa hata 2 ya 18? [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Kulikuwa na mama anaitwa Dk. Joyce Ndalichako- alikuwa firm kwelikweli, hayumbishwi na hana mchezo linapokuja suala la mitihani na matokeo ya mitihani. Alikuwa hakubali kupandisha ufaulu kwa kustandardize. Kuna uwezekano alikataa kumwongezea maksi huyo Mwanaasha na wengine

Hata mi

Hats mi nashindwa kuamini hivi huyo alietoa matokeo aliendelea na kazi kweli!!
Baadae Dk. Joyce Ndalichako alifutiwa kazi ya ukatibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (NECTA) akarudi kufundisha UDSM kama sikosei
 
Yule wa mwendazake aliepata division four kwa sasa yupo wizara ya madini....magufuri karibia ndugu zake wengi aliwachomeka wizara ya madini kwa sababu aliamini kule ndio kuna kula ya uhakika halafu akisimama majukwani anajamba kwa mdomo eti vijana wajiajiri na serikali haina ajira
 
Acha kupindisha ukweli Mzee.
Mwanaasha ndo alileta yote haya.

Ilikuwa aibu kubwa sana Kwa Mzee kipindi hicho, watu tulicheka sana

Uo ni uongo namba zimeanza kutumika toka miaka ya 2004 Uko watoto wa siku hizi hamjui kitu
 
Kulikuwa na mama anaitwa Dk. Joyce Ndalichako- alikuwa firm kwelikweli, hayumbishwi na hana mchezo linapokuja suala la mitihani na matokeo ya mitihani. Alikuwa hakubali kupandisha ufaulu kwa kustandardize. Kuna uwezekano alikataa kumwongezea maksi huyo Mwanaasha na wengine


Baadae Dk. Joyce Ndalichako alifutiwa kazi ya ukatibu Mtendaji wa Baraza la Mitihani (NECTA) akarudi kufundisha UDSM kama sikosei
Yeah!!! Aliondolewa ndio akaenda nje kuchukua uprof
 
Uo ni uongo namba zimeanza kutumika toka miaka ya 2004 Uko watoto wa siku hizi hamjui kitu
Umeambiwa namba zilikuwa zinatumika sambamba na majina yaani inaandikwa namba kisha jina baada ya mwanaisha ikawekwa mamba tu jina likaondolewa
 
Yule wa mwendazake aliepata division four kwa sasa yupo wizara ya madini....magufuri karibia ndugu zake wengi aliwachomeka wizara ya madini kwa sababu aliamini kule ndio kuna kula ya uhakika halafu akisimama majukwani anajamba kwa mdomo eti vijana wajiajiri na serikali haina ajira
Ndio kama wazazi wako hawakukuandalia fursa ukome
 
[emoji38][emoji38][emoji38] duh aliwaokoa wengi,hapo basi mzee alichungulia akaona huko mbele nitapata aibu
Aliokoa sana Jahazi darasa la saba mpaka mwenye piont 90 alienda[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] 2012 walipanga matokeo kwa njia ya B.R.N kwenye mwaka wetu wakafuta wakatuwekea div four mpaka 40[emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787][emoji1787] dah kusoma na watoto wa wakubwa raha sana[emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
 
Back
Top Bottom