TikTok2021
JF-Expert Member
- Nov 14, 2022
- 690
- 1,060
duhHuyo hapo, number 25
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
duhHuyo hapo, number 25
Sasa umesamaje hapa???Mtoa mada najua unamchukia Kikwete na samia bila shaka lakini usiwe muongo na mzushi.....sababu iliyopelekea kuacha kutumia majina ni kuiepuka taharuki ambayo ilianza kutokea ya watu kukimbilia kuangalia majina ya mwanafunzi na kuyahusisha na imani yake. Jambo hili lilianza kuchukua mkondo tofauti na hatimaye serikali ikaja na mbinu hiyo.
Aseee!2017 ulikua form 2
Utajua hujui 🤣🤣🤣😁😁😁😁 tena Fedha girls.
Kuna yule wa Mwendazake alioata zero kabisa ila akawa anasoma Udom 🤣🤣
Mbona suala la kutumia namba lilianza zamani wakati waziri WA ELIMU akiwa mheshimiwa KIGOMA ALLY MALIMA.! Au mm ndo Huwa sifuatilii Siasa za hapa MZIZIMA?Back those years, huenda vijana wa Leo hamelewi hili.
Iko ivi Enzi hizo Matokeo ya Mtihani yakitoka yalikuwa na majina siyo candidate number kama ilivyo sasa. Kulitokea la kutokea binti wa Rais kipindi hicho 2005-2015. Alifail peke yake darasa zima Div IV 27 shule maarufu hapo Mzizima.
You know what, kilichofuata ni kwamba kutaja majina ya wanafunzi ikaonekana hakuna tija watumie tu number zao. Hiyo ndo historia ya candidate number badala ya jina kwenye Matokeo ya NECTA.
Nafikiri mmenielewa.
Sibishani nae tena huyo2017 ulikua form 2
Yani🤣 na wamo wadogo zaidi yake. Mda huo hata sikumbuki 4 figure inasomwa vipi🤣Sibishani nae tena huyo
Miaka hiyo one za single digit ilikua inshu siku hizi eti darasa kalibia lote linapiga 1.7Huyo hapo, number 25
Mkuu kulikwa na candidate number then jina la mtahiniwa , Namba ilikuja kwa sabau kuna majina yalikuwa yana fanana fanana hasa ya waislamu.Mbona suala la kutumia namba lilianza zamani wakati waziri WA ELIMU akiwa mheshimiwa KIGOMA ALLY MALIMA.! Au mm ndo Huwa sifuatilii Sasa za hapa MZIZIMA?
Duh!! Sio poa wazee..Huyo hapo, number 25
🤣🤣🤣Shusheni na ya Janet Magufuli Wazee.
nakumbuka vizuri hili tukio.Back those years, huenda vijana wa Leo hamelewi hili.
Iko ivi Enzi hizo Matokeo ya Mtihani yakitoka yalikuwa na majina siyo candidate number kama ilivyo sasa. Kulitokea la kutokea binti wa Rais kipindi hicho 2005-2015. Alifail peke yake darasa zima Div IV 27 shule maarufu hapo Mzizima.
You know what, kilichofuata ni kwamba kutaja majina ya wanafunzi ikaonekana hakuna tija watumie tu number zao. Hiyo ndo historia ya candidate number badala ya jina kwenye Matokeo ya NECTA.
Nafikiri mmenielewa.
Msoto tena🤣🤣🤣🤣 hiyo kusoma tu uskute ni kama adhabu kwake.nakumbuka vizuri hili tukio.
sisi watu wa kamati ya roho mbaya tunataka kujua maisha yake ya sasa pamoja na kufeli kwake form four. vp anapitia msoto?.
Hats mi nashindwa kuamini hivi huyo alietoa matokeo aliendelea na kazi kweli!!Na we unaamini hilo, kabsaa?!!
Sasa hapo, kwa mamlaka yake, mbona ilikuwa issue ndogo sana......kuwaagiza tu necta mpeni point 8 huyu.
Feza girls?!!!!!!! Ilikuaje mtu asiye na uwezo kama huyo afike f4 bila baba yake kushauriwa vinginevyo?!!!
Your logics are non consistentNdo kama unavyoona hakuan TO tena wa top ten kisa government schools zimeboronga na mkopo wa COVID 19 Mmechukua.
Now anawacheka waliomcheka..Dahhh!Wee Jesca alipata 4 ya 33, sahv yuko BOT.
🤣🤣🤣🤣🤣🤣Yani🤣 na wamo wadogo zaidi yake. Mda huo hata sikumbuki 4 figure inasomwa vipi🤣