Kufeli kwa mtoto wa kigogo kulivyobadili namna ya kutangaza Matokeo ya NECTA

Huyo enzi ya dingi yake alikula shavu la ukurugenzi nahisi

Sent from my TECNO K7 using JamiiForums mobile app
 
Kuna mfanyabiashara kkoo ana 1 ya 13 o level 1 ya 6 egm first class chuo anaingiza mil 13 daily usikariri kwamba kila toto linalofaulu darasani linaajiriwa fala ww fungua ubongo upate exposure
Upo sahihi mheshimiwa. Lakini sijasema kuwa kila aliyetajiri hajasoma. Ujumbe wangu upo wazi kabisa na nitarudia - Si kuwa na isiwe kanuni kuwa ukifeli masomo ndio umefeli maisha. Tafsiri ya kufanikiwa katika maisha ni pana kuliko kujikita tu katika kufaulu masomo darasani.
 
Matokeo yetu ya 2007 ya form four na 2010 ya form six yakiltoka na majina
 
Lakino bora sana hii ya kutumia namba badala ya majina ya watu, hata watoto wana haki ya taarifa zao kutukusambazwa hovyo, kumuonyesha mtu aliefeli siyo dili wala haina maana yeyote, acha sasa taarifa zao zilindwe, namba zibaki kuwa siri ya wizara ya elimu, mwanafunzi
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…