Kufeli kwa mtoto wa kigogo kulivyobadili namna ya kutangaza Matokeo ya NECTA

Aliyeanzisha utaratibu wa Namba ni Kighoma Malima aliyekuwa waziri wa Elimu Wakati wa Nyerere kijana,

Maisha ya siku hizi elimu sio inshu sana mtu unasoma muda mrefu halafu unabaki kusubiri huruma ya kuajiriwa,elimu ni muhimu kutoa ujinga,ila huyo mtoto wa Kikwete alipata four ndio uwezo wake,na hakubebwa KWA sababu ni mtoto wa raisi,leo hii Naamini huwezi kumlinganisha kimaisha na wenzake waliopata divisheni one yupo zake sehemu nzuri anakula life bila presha.
 
Hata Sasa ndicho kimetokea plus dini
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…