Ndio hivyo..katembelea nyota ya baba akeAjabu sasaivi anamaisha mazuri kuliko hao wa Dv1
Sasa siyo 25 bhana, ni 27!Huyo hapo, number 25
Yuko wapi nowadays?Atakuwa mtoto wa Jah Kaya
Atakuwa Air hostess kwenye kampuni moja ya ndege kubwa huko arabuniYuko wapi nowadays?
Inaharibu vitu vingi Kwa maslahi binafsiPolitical Power ni jambo la ajabu sana πΉ
Anatakiwa muda huu awe darasani sio JF.... Nitafuatilia matokeo yake2017 ulikua form 2
Alooooπ€«π€«π€π€π€Aliweka record ya 4 ya kwanza pale feza girls....
Phase 4 presdaa's kid rightAliweka record ya 4 ya kwanza pale feza girls....
Hata Sasa ndicho kimetokea plus diniBack those years, huenda vijana wa Leo hamelewi hili.
Iko ivi Enzi hizo Matokeo ya Mtihani yakitoka yalikuwa na majina siyo candidate number kama ilivyo sasa. Kulitokea la kutokea binti wa Rais kipindi hicho 2005-2015. Alifail peke yake darasa zima Div IV 27 shule maarufu hapo Mzizima.
You know what, kilichofuata ni kwamba kutaja majina ya wanafunzi ikaonekana hakuna tija watumie tu number zao. Hiyo ndo historia ya candidate number badala ya jina kwenye Matokeo ya NECTA.
Nafikiri mmenielewa.
AlooHuyo hapo, number 25
ππππ tena Fedha girls.Huyo hapo, number 25
ππkumbe huwa tunabishana na watoto wadogo sana humu.Anatakiwa muda huu awe darasani sio JF.... Nitafuatilia matokeo yake
π€£π€£Hohohoho hahahaha kwi kiwi kwi