Kufuata Bidhaa hapo China kusikufanye ukajiona umeyapatia maisha ukadharau watu!

Kufuata Bidhaa hapo China kusikufanye ukajiona umeyapatia maisha ukadharau watu!

Mshikilie Mungu sana...
Mimi Nina muamini...
Nafanya biashara katikati ya mapapa lakini Kwa ajili ni small body but big God wala siogopi....
Na atakaejaribu kunifanyia lolote Mungu anamchapa fimbo za uhakika
Jaribu kumuachia Mungu...vita ni vingi utapigana vingapi?
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!


Kuna kuna watanzania ambao wanajiona wameyapatia maisha kuliko watanzania wote,basi ni hao wanaofuata bidhaa hapo China!.

Aisee,asikwambie mtu jamaa wanajiona wako matawi kinoma!.

Bidhaa zenyewe mnaleta feki na kama ni nguo basi ni midosho ya kufa mtu!.

Acheni ulimbukeni badilikeni!.


Kuna Mpumbavu mmoja alikuwa winga hapo Kariakoo akachukuliwa na Bosi aitwaye Mama Carlen akapelekwa China kuwa mpiga Debe lakini leo anajiona mjanja na kudharau watu!.

Wewe Hassan Mwehu,nakuonya na nafahamu fika uko humu JF!,unajua ulichokifanya Fala wewe!,Acha kujiona mjanja na kuzibia watu riziki zao!.

Mimi kufahamiana na Jayma wewe unaumia nini,umeenda ukapiga uongo wako kiasi kwamba nakosa pesa kwasababu yako Mpumbavu mmoja wewe!.

Nakusubiri kwa hamu bongo najua utakuja tu kwasababu China upo kwa mkopo!,Nataka Nije nikusukumie Mianzi hadharani Mpumbavu wewe!.
ALOOOO 🤒🤒🤒
 
Kwenye biashara mambo ni hivyo sana vinginevyo huuzi na hudumu kwenye soko. Kuna muda inabidi uponde sana na ueleze hata uongo kwanini tununue bidhaa kutoka kwako na sio kwao? Huo uongo ndio fitna zenyewe vinginevyo kama huna jina huuzi.
Fitna ni mbinu pia
Ukiemda halali hutofanikiwa mpaka uzushe uongo?
Kwanini usijitahidi kuwa Bora kuzidi mshindani wako ili kuvutia tenda zije kwako kihalalli?haiwezekani?
 
Biashara ni ya watu wenye mioyo migumu na wenye shock absorbers
Nakubaliana nawe mkuu, kama huna uvumilivu wa yanayoendelea kwenye biashara huwezi kufanya utakufa na stress. Kuna muda uliemuinua ukamfundsha biashara ndio anakufitini vibaya mno na kama ndio anazidi kufanikiwa hakuna rangi utaacha ona. Sio kila mtu anaweza kufanya biashara.
Ni kama ilivyo kwa madalali na udalali, dhuluma na kuzungukana ni kwingi, ukiwa hujui hayo utaumia sana ila n kawaida.
 
Duuuh kazi ipo
ZBC 2 wanaonesha marudio ya mechi kati ya Simba na Waydad na hadi sasa Simba anaongoza 3 kwa 1. Kumbe jana mlisawazisha na kuongeza mengine mawili
IMG-20231105-WA0079.jpg
alafu hatuambiani.
 
Biashara ni ya watu wenye mioyo migumu na wenye shock absorbers
Na Mungu akiwa upande wako...
Mimi Nina ushuhuda bro..
Sema Kila nikipanga nipandishe Uzi naona watu wengi humu wataona Nina weka kujidai....
Huu Uzi umenifanya niufungue kutokana na "taito' yake maana na Mimi nipo kwenye mishe hizo hizo..
Yaani ulimwengi WA pesa shetani ndo kautawala ila ukiwa na Mungu....
Eee...ushawahigi kufanya biashara watu wanakuamini tu....kuanzia masuplier mpaka wateja.....yaani pesa zinapishana tu huku na kule?
Basi Mtangulize Mungu
 
Nakubaliana nawe mkuu, kama huna uvumilivu wa yanayoendelea kwenye biashara huwezi kufanya utakufa na stress. Kuna muda uliemuinua ukamfundsha biashara ndio anakufitini vibaya mno na kama ndio anazidi kufanikiwa hakuna rangi utaacha ona. Sio kila mtu anaweza kufanya biashara.
Ni kama ilivyo kwa madalali na udalali, dhuluma na kuzungukana ni kwingi, ukiwa hujui hayo utaumia sana ila n kawaida.
Mtangulize Mungu....
 
Nsikuchoshe na Usinchoshe,tusichoshane!


Kuna kuna watanzania ambao wanajiona wameyapatia maisha kuliko watanzania wote,basi ni hao wanaofuata bidhaa hapo China!.

Aisee,asikwambie mtu jamaa wanajiona wako matawi kinoma!.

Bidhaa zenyewe mnaleta feki na kama ni nguo basi ni midosho ya kufa mtu!.

Acheni ulimbukeni badilikeni!.


Kuna Mpumbavu mmoja alikuwa winga hapo Kariakoo akachukuliwa na Bosi aitwaye Mama Carlen akapelekwa China kuwa mpiga Debe lakini leo anajiona mjanja na kudharau watu!.

Wewe Hassan Mwehu,nakuonya na nafahamu fika uko humu JF!,unajua ulichokifanya Fala wewe!,Acha kujiona mjanja na kuzibia watu riziki zao!.

Mimi kufahamiana na Jayma wewe unaumia nini,umeenda ukapiga uongo wako kiasi kwamba nakosa pesa kwasababu yako Mpumbavu mmoja wewe!.

Nakusubiri kwa hamu bongo najua utakuja tu kwasababu China upo kwa mkopo!,Nataka Nije nikusukumie Mianzi hadharani Mpumbavu wewe!.
Umughaka hii tabia umeanza lini ya kuwa chawa ?
Bora mpemba alivyokwambia huna akili
 
Back
Top Bottom