Kufuata Bidhaa hapo China kusikufanye ukajiona umeyapatia maisha ukadharau watu!

Kufuata Bidhaa hapo China kusikufanye ukajiona umeyapatia maisha ukadharau watu!

Asante
Kwa hiyo ni kwamba mimi natoka mkoa nakuja Dar kuchukua mzigo wa viatu au mazagazaga ya simu ni lazima niwatafute mawinga?
Kwani hakuna maduka ya jumla yanauza? au mawinga wana mzigo uliongia kimagumashi na bei inakuwa rahisi zaidi?

Apana sio lazima utafute mawinga kama unaelewa mazingira haina shida unaenda unanunua mzigo wako unaenda! Pia mawinga hawana nafasi kama wewe unachukua mzigo mkubwa wao wanaodeal na hawa wa mizigo midogo katoni mbili tatu tu! Mfano kama ni viatu winga anachofanya ananunua katoni kadhaa anazitunza mzigo ukikata Kwa mchina anapandisha bei, au kiatu flani hakipatikani anachofanya yy anakitafuta then anakuletea anaweka na ganji yake hapo

Half american
 
Apana sio lazima utafute mawinga kama unaelewa mazingira haina shida unaenda unanunua mzigo wako unaenda! Pia mawinga hawana nafasi kama wewe unachukua mzigo mkubwa wao wanaodeal na hawa wa mizigo midogo katoni mbili tatu tu! Mfano kama ni viatu winga anachofanya ananunua katoni kadhaa anazitunza mzigo ukikata Kwa mchina anapandisha bei, au kiatu flani hakipatikani anachofanya yy anakitafuta then anakuletea anaweka na ganji yake hapo

Half american
Umeeleweka mkuu
 
Back
Top Bottom